Kampuni Gani inatoa bima Bora ya afya kwa mwananchi anayejilipia yeye binafsi?

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Kama nilivyosema wadau naomba ushauri
 
Ilikuwepo AAR siku hizi wanajiita ASSEMBLE Insurance jaribu kufuatilia.

Kipindi sisi wa NHIF tunanyanyapaliwa na watoa huduma miaka ya 2003 huko,wao walikuwa wanachangamkiwa sana sababu walikuwa wanafanya kazi na kampuni zinazoeleweka eg migodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…