Nadhani ni bora wqdhibitiwe kwa kutopokea hela tslimu.mapato ya umma yanapotea sana.wafanye kama trafic.unajua faini za barabarani haziumi sana kama zile za zamanj za kwenye kitabu,notificationAisee hawa jamaa rushwa yao kubwa. Na wanakomalia na kama hutaki wanakupa tu control number uhangaike nayo
Ni kweliTupate bylaws za jiji zinazogavan parking tuzichambue kuwa na uelewa
Iliwahi leta kashesheHivi hawawezi kupewa jukumu la kupambana na pikipiki zisizo na sifa mjini kama helment,viatu.uendeshaji mbaya (ushahidi uwe ni camera).
aah nilidhani ameenda kumkoromea mkurugenziWaliosababisha nitoe pesa walitoa pesa yao ya mfukoni kuirudisha. Inawezekana
😀😀 Hapana. Pesa ikishatolewa huko ndo basi tena.aah nilidhani ameenda kumkoromea mkurugenzi