Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Wadau, mimi hayo ndio maswali yangu na anaeweza kutoa majibu atusaidie na ikiwezekana atoe na nyaraka kusapoti majibu yake.

Kama ana document za kutangaza tender kama vile gazeti,n.k atuweke hapa na nyaraka zingine zote muhumu katika utangazaji na utoaji wa tender.

Nasikia hii kampuni ni ya wazawa(sijui ukweli wa hili jambo) ila kama ni kweli basi si vibaya tukawajua maana watakuwa wamesaidia fedha nyingi isiende nje ya nchi lakini ni lazima tujue kama sheria na taratibu zimezingatiwa katika kuwapatia tender hiyo.

Hata kama itakuwa ni kampuni ya kigeni nayo tungependa kujua namna ilivyopewa tender/kandarasi husika.

Ni hayo tu.

Update:
Kuna wachangiaji wametujulisha kuwa tender ilitangazwa na habari hiyo inapatikana katika huu uzi hapa chini:
Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato: Serikali yatangaza tenda
 
Sina uhakika!

Hata hivyo, nilicho na uhakika nacho ni kwamba, Managing Director ni Stephen Makigo! Huyu Stephen Makigo aliwahi kuteuliwa na JPM kuwa Mjumbe wa TEMESA mwaka 2012! Kwa maana nyingine, kuna kila dalili kwamba JPM anafahamiana na Managing Director wa hii kampuni.

UPDATE:
CV YA Dr MAGUFULI
NGULI WA SAYANSI NA RAIS MTRAJIWA AWAMU YA 5:



Mwaka 1977 – 1978, alisoma elimu ya sekondari katika Shule ya Sekondari Lake, Mwanza.
CV ya Stephen Makigo:
Chato.png


Ni mshikaji flan hivi; kitambo sana... ndo maana wakati nipo ujenzi nikamtupa kwenye ujumbe TAMESA na hivi sasa kala shavu la kandarasi nene!!!
 
Mh! Dili limepigwa hapa la kufa mtu. Hili jina kama la mkolomije. Ndiyo sababu taratibu za Serikali kutafuta mkandarasi hazikufuatwa ili ampe mtu wake. Kuna kila sababu ya CAG kukagua shughuli yote hii kuanzia uchotaji wa pesa hadi kumpata mkandarasi ikiwemo maamuzi ya kujenga uwanja huo usio na kipaumbele cha namna yoyote ile kwa Watanzania.

Sina uhakika!

Hata hivyo, nilicho na uhakika nacho ni kwamba, Managing Director ni Stephen Matigo! Huyu Stephen Matigo aliwahi kuteuliwa na JPM kuwa Mjumbe wa TEMESA mwaka 2012! Kwa maana nyingine, kuna kila dalili kwamba JPM anafahamiana na Managing Director wa hii kampuni.
 
Mtakapokumbuka shuka asubuhi nimeongea and kumekucha.Huo kwanza wa bodega sidhani kama una any impact kwenye Tanzania economy au ni yale yale ya utawala wetu wa KUJENGA kwetu.

Water alisema Mbuzi kwenye kama ndefu ndiyo bila Majani lea wingi
 
Mh! Dili limepigwa hapa la kufa mtu. Hili jina kama la mkolomije. Ndiyo sababu taratibu za Serikali kutafuta mkandarasi hazikufuatwa ili ampe mtu wake. Kuna kila sababu ya CAG kukagua shughuli yote hii kuanzia uchotaji wa pesa hadi kumpata mkandarasi ikiwemo maamuzi ya kujenga uwanja huo usio na kipaumbele cha namna yoyote ile kwa Watanzania.
Kuna kila dalili kwamba huu ni mchongo! And look, JPM anapenda sana kufungua miradi hata ile yenye hadhi ya RC lakini ufunguzi wa Uwanja wa Chato amekacha!!!

Ingawaje watu wanaamini amekacha kwa kuona aibu kwa ubadhirifu mkubwa kama huu lakini pia naamini sababu nyingine ni kutaka asitengeneze dots zozote zitakazomuunganisha na mmiliki wa Mayanga Contractors. JPM sio mtu wa kuacha mradi wa Bilioni 41 asifungue wakati anafungua miradi yenye thamani chini ya bilioni moja!!
 
Mkandarasi ni Mtanzania gharama za kujenga ni 39.15 billions ambazo dikteta uchwara kazichota hazina bila idhini ya Bunge na huyo mkandarasi kapatikana bila taratibu za Serikali za kupata mkandarasi kufuatwa. Huu ni ubadhirifu mkubwa sana wa pesa za walipa kodi. Natumai CAG atakagua kila kitu kuhusiana na ubadhirifu huu wa dikteta uchwara.

Bila shaka huyu Kingunge wa wapiga madili wakubwa Serikalini kapiga dili jingine takatifu.
Anajitia kupambana na ufisadi kumbe yeye ni fisadi papa.
 
Aliwafukuza wabunge makini woote kisingizio walitaka bunge live ili wapitishe uwanja wake
 
MAYANGA CONTRACTORS CO. LTD
Registration Number:
B1/154/04/2016
Managing Director:
STEPHEN MAKIGO
Types of Contractor:
BUILDING
Class:
1
Category:
Local
Town:
MWANZA
HideContacts
Postal Address:
P.O. BOX 10795
Physical Address:
PLOT NO.424, BLOCK A,MUSOMA ROAD,NYAMHONGOLO, MWANZA
E-mail:
stevenmakigo@yahoo.com
Phone:
+255 28 2561041/ 2560474/0754 301785
Source: http://www.crb.go.tz/mayanga-contractors
 
Maswali kama haya wapeni wabunge wenu wakaulize bungeni. Tunahangaika kuulizana JF, toka 2016 uwanja unajengwa, wabunge wenu hawasemi kitu hali kuwa pesa wanaidhinishwa tu. Wanaidhinisha pasipokujua mchakato na sababu za ujenzi?
Fedha hazijaidhinishwa na bunge
 
Back
Top Bottom