Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Mh! Dili limepigwa hapa la kufa mtu. Hili jina kama la mkolomije. Ndiyo sababu taratibu za Serikali kutafuta mkandarasi hazikufuatwa ili ampe mtu wake. Kuna kila sababu ya CAG kukagua shughuli yote hii kuanzia uchotaji wa pesa hadi kumpata mkandarasi ikiwemo maamuzi ya kujenga uwanja huo usio na kipaumbele cha namna yoyote ile kwa Watanzania.
CAG? Yupo siku hizi?

Kama yupo anao ubavu wa kutoa taarifa zilizo wazi pasi na kumuogopa aliyemteua?
 
Mh! Dili limepigwa hapa la kufa mtu. Hili jina kama la mkolomije. Ndiyo sababu taratibu za Serikali kutafuta mkandarasi hazikufuatwa ili ampe mtu wake. Kuna kila sababu ya CAG kukagua shughuli yote hii kuanzia uchotaji wa pesa hadi kumpata mkandarasi ikiwemo maamuzi ya kujenga uwanja huo usio na kipaumbele cha namna yoyote ile kwa Watanzania.
CAG? Yupo siku hizi?

Kama yupo anao ubavu wa kutoa taarifa zilizo wazi pasi na kumuogopa aliyemteua?
 
Pia maswali muhimu ya kujiuliza mkandarasi anakidhi vigezo vya kupewa ujenzi wa kiwanja cha ndege cha ngazi ya hadhi ya kimataifa.

Vipi kuhusu Mayanga Contractors kama ana Ujuzi na rasilimali watu kukamilisha ujenzi na uweledi wa kushirikisha sub-contractors na wasimamizi wa viwango kama Mamlaka za Viwanja vya ndege TAA, Usalama wa ndege za kiraia TCAA na wadau wengine wa sekta ya usafiri wa anga local na international kama FAA, Airbus, Boeing ili mradi huu ukiisha utambulike kimataifa n.k
 
Wadau, mimi hayo ndio maswali yangu na anaeweza kutoa majibu atusaidie na ikiwezekana atoe na nyaraka kusapoti majibu yake.

Kama ana document za kutangaza tender kama vile gazeti,n.k atuweke hapa na nyaraka zingine zote muhumu katika utangazaji na utoaji wa tender.

Nasikia hii kampuni ni ya wazawa(sijui ukweli wa hili jambo) ila kama ni kweli basi si vibaya tukawajua maana watakuwa wamesaidia fedha nyingi isiende nje ya nchi lakini ni lazima tujue kama sheria na taratibu zimezingatiwa katika kuwapatia tender hiyo.

Hata kama itakuwa ni kampuni ya kigeni nayo tungependa kujua namna ilivyopewa tender/kandarasi husika.

Ni hayo tu.
Kuwa mfuatiliaji wa habari, kampuni inayojenga ni ya serikali TBA.
 
Vita ya kiuchumi jamani mwache raisi apambane.
 
Kwa upande wa uwezo Mkandarasi anakidhi vigezo vya kimataifa kwani ni class 1 contractor in Building and civil works and also ana uzoefu wa kazi za ujenzi wa muda mrefu hivyo kwenye uzoefu wa job with similar work mkandrasi yuko vzuri pia ni Mkandarasi mzawa anafanya mradi mkubwa wa lami Makutano - Mugumu alishakamilisha Daraja la Mbutu wilayani Igunga
Swali la msingi ni je sheria za manunuzi yaani PPRA zilifuatwa? lakini kiuwezo mkandarasi yuko vzuri sana.
 
Nadhan kwa sasa tuache kuhoji maana muliipenda wenyewe...... Wacha muisome number eeeeee
 
wapinzani huwa nawashangaa sana... hasa wa Jf...
mnahoji vitu ambavyo mlipaswa kumuhoji waziri kivuli ili atoe maelezo manyoofu ili mpate pa kuanzia kuhoji.

hadi sasa naona lawama bila facts.
tenda ilitangazwa...
kampuni ikashinda...
 

Asante BAK. Jamani Muda mwingine tuache kulalamika ovyo. Tuwe na hoja za msingi.

MICHUZI BLOG: UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI ...
UrlAdvisorGoodImage.png

https://issamichuzi.blogspot.com/.../uteuzi-wa-mwenyekiti-na-waju...
Translate this page
Dec 16, 2012 - Kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wakandarasi na Mkurugenzi Mtendaji Mac Contractors Ltd. Eng. Stephen P. Makigo kutoka ...
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuna kila dalili kwamba huu ni mchongo! And look, JPM anapenda sana kufungua miradi hata ile yenye hadhi ya RC lakini ufunguzi wa Uwanja wa Chato amekacha!!!

Ingawaje watu wanaamini amekacha kwa kuona aibu kwa ubadhirifu mkubwa kama huu lakini pia naamini sababu nyingine ni kutaka asitengeneze dots zozote zitakazomuunganisha na mmiliki wa Mayanga Contractors. JPM sio mtu wa kuacha mradi wa Bilioni 41 asifungue wakati anafungua miradi yenye thamani chini ya bilioni moja!!
Huyo mayanga si ndgu yake hilo liko wazi,kampuni hiyo hata mtaji haina istoshe akiwa waziri alimpa barabara za isamilo zikajengwa miakamahali hata km 4 haifiki,huwezi kumtenganisha na mayanga
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wadau, mimi hayo ndio maswali yangu na anaeweza kutoa majibu atusaidie na ikiwezekana atoe na nyaraka kusapoti majibu yake.

Kama ana document za kutangaza tender kama vile gazeti,n.k atuweke hapa na nyaraka zingine zote muhumu katika utangazaji na utoaji wa tender.

Nasikia hii kampuni ni ya wazawa(sijui ukweli wa hili jambo) ila kama ni kweli basi si vibaya tukawajua maana watakuwa wamesaidia fedha nyingi isiende nje ya nchi lakini ni lazima tujue kama sheria na taratibu zimezingatiwa katika kuwapatia tender hiyo.

Hata kama itakuwa ni kampuni ya kigeni nayo tungependa kujua namna ilivyopewa tender/kandarasi husika.

Ni hayo tu.
Mayanga Contractors... mengine katafute
 
Sina uhakika!

Hata hivyo, nilicho na uhakika nacho ni kwamba, Managing Director ni Stephen Makigo! Huyu Stephen Matigo aliwahi kuteuliwa na JPM kuwa Mjumbe wa TEMESA mwaka 2012! Kwa maana nyingine, kuna kila dalili kwamba JPM anafahamiana na Managing Director wa hii kampuni.
Classmate.
 
Back
Top Bottom