Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,yaani unaweka kikwazo kuwa kampuni ni lazima itoke kanda ya ziwa?Wakati huo huo unajua kampuni yenye vigezo kanda ya ziwa ni moja!!!Aisee
 
Fisadi kuu alidanganya kuanzisha mahakama ya mafisadi, hii nchi ina maigizo sana kuzidi hata yale ya kukuta vichwa vya treni bandarini.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,yaani unaweka kikwazo kuwa kampuni ni lazima itoke kanda ya ziwa?Wakati huo huo unajua kampuni yenye vigezo kanda ya ziwa ni moja!!!Aisee
Yani hawa jamaa na mkubwa wao wanataka kutufanya watanzania wote ni mbuzi wa kufugwa zizini! Yani wameamua kutugeuza mazuzu mchana kweupeeeee.
 
Hii kampuni kule kanda ya Ziwa pekee amepewa tenda ya Tshs Trilioni moja kwa miradi miwili! Nilitamani nione bond yao waliyoweka hadi wakapewa miradi mikubwa namna hiyo hasa kwa huu utawala wa Magufuli!
Kati mifuasi ambayo inatia aibu Chadema yetu ni hili jamaa. Pumbavu lijinga kabisa,tril moja unadhani ni mavi yako?
 
hebu acheni kutafuta jibu na kumchosha Mh.Rais wetu,,mkitaka jibu fungeni safari zilipo ofisi za BRELA mtapewa majibu kuhusu hitaji lenu
 
Kama wewe ni mpinzani mwenye akili tuwekee hapa document zikionyesha Mayanga Construction sio kampuni class1,kwamba haiwezi kujenga km 3 runway ya kutua ndege.

Tuwekee ushahidi wa picha wa hizo shule ambazo hazijakamilika.

Pia tuambie hii hoja ya Mayanga itakisaidia vipi chama chetu. Sipendi wanaChadema wapumbavu.
 

Taarifa sahihi za kampuni zinazoweza kujibu maswali yote zinapatikana kwa mhusika wa makampuni Business Registrations and Licensing Agency
 
Nfatei uyo mayanga mumuulize, kwanihamna waandishi wa habali au manmuogopa huyo mayanga?
Mkimaliza ya mayanga, nendeni mkamuulize mchukua tenda Za Chadema shemeji yake na Mbowe ambaye mnamlipa milioni 60 kila mwezi kwa miaka mitano
 
Nfatei uyo mayanga mumuulize, kwani hamna waandishi wa habali au mnamuogopa huyo mayanga?
Mkimaliza ya mayanga, nendeni mkamuulize mchukua tenda Za Chadema shemeji yake na Mbowe ambaye mnamlipa milioni 60 kila mwezi kwa miaka mitano
 
Nfatei uyo mayanga mumuulize, kwanihamna waandishi wa habali au manmuogopa huyo mayanga?
Mkimaliza ya mayanga, nendeni mkamuulize mchukua tenda Za Chadema shemeji yake na Mbowe ambaye mnamlipa milioni 60 kila mwezi kwa miaka mitano
Umeuchokoza moyo wangu,ipo siku nikiwa karibu na Mbowe nitamkanyaga ule mguu aliuvunjika uvunjike tena. Amekula pesa za chama na sasa tunahangaika.
 
Umeuchokoza moyo wangu,ipo siku nikiwa karibu na Mbowe nitamkanyaga ule mguu aliuvunjika uvunjike tena. Amekula pesa za chama na sasa tunahangaika.
Tena sasa ndio mchange mchange kwa bidii aendelee kula vizuri
 
Mtanzania mwenzenu kapewa tenda kubwa, kujengewa uwezo wa kucompete na makampuni makubwa duniani, kwanini tunahoji kuaminiwa kwake kufanya kaz? Tunataka ifike mahali nchi iwe na contractors wakubwa ndani ya Tanzania

Mkuu nimejaribu kuangalia tovuti ya hiyo kampuni ni shida - (Mayanga Contractors Company Ltd).

Ukienda kwenye ukurasa wa Projects inasema "This Page is Under construction" - Our Projects

Ukienda kwenye ukurasa wa picha inakwambia "The Page is under Construction" - Gallelay

A construction company that is still under construction.
 
magu2016 MAGUFULI magufuliforpresident njoo ujibu tuhuma zako huku
 
Hakuna sababu ha kuruka vihunzi.Sere ya viwanda imwekwa pembeni hiyo hoja lazima ijibiwe sio mtumbumbaze kwa ununuzi wa ndege
 
Bwashee mbona tangazo liko kwa mujibu wa sheria kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…