Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau, hili ni dudu jingine mjini hapa linapata matenda makubwa ya serikali hii mf chato airport na tender kubwa za lake zone na kigoma.
Kuna tender ilitangazwa nikasikia kampuni moja ya ujenzi inasema kama Mayanga akiomba hawatajisumbua kuomba....
So wajuzi wa mambo naombeni elimu kampuni hili ni la nani? Kwanini Mbarawa anapata kigugumizi juu ya Mayanga?
Nawasilisha
Unajua haki huinua taifa, na wakimbiza mwenge watalala kwa huzuni Isaya 50:11.Jeshi la nchi hii halikosi sababu mkuu....mbaya zaidi ukiigusa chattle
Wewe ni empty set, kwahiyo hata kwenye ajira kama watoto wa viongozi wamesoma basi wao wapewe kazi tu mbele ya wengine hakuna haja ya interviewNi kazi tukitaka kujua kila mmiliki wa kampuni,je kazi hazina ubora na hazikamiliki kwa wakati!
Bado anasomesha mkuu...hahahahMbarawa hawezi kufanya lolote kama kampuni inakuwa handpicked na kupewa tender ya ujenzi wa Airport japo kampuni hiyo haina uzoefu huo. Mbarawa bado ana watoto wadogo ujue...
Tatizo huna rindaaaaaNi kazi tukitaka kujua kila mmiliki wa kampuni,je kazi hazina ubora na hazikamiliki kwa wakati!
Hahahahaha Nimecheka sana[emoji16] [emoji16]Uko tayari kupima Mkojo??Fanyia utafiti ila in short mwenye nayo ndiyo mwenye kisu cha kukatia keki na kijiko cha kulishia hiyo keki,nani ale na nani asile.
Hahahahaha Nimecheka sana[emoji16] [emoji16]
Kila round ya uongozi wa ccm kuna upigaji mpya....."Nchi hii iliibiwa sana", naona sasa unaanza wizi mpya! Hakuna aliye msafi ila hayo ni matambo tu
lkn kwenye issue ya uzoefu mi huwa sikubaliani na neno hilo.....maana hata hiyo kampuni yenye uzoefu kuna siku ilianzishwa...so kama kila tender ingenyimwa kwa suala la uzoefu maana yake isingepata uzoefu milele....cha muhimu ni kampuni kuwa na timu bora ya utendaji kaziMbarawa hawezi kufanya lolote kama kampuni inakuwa handpicked na kupewa tender ya ujenzi wa Airport japo kampuni hiyo haina uzoefu huo. Mbarawa bado ana watoto wadogo ujue...
Kweli mkuu kama enzi zile LugumiMuda wake naye kuula huyoo
Ova
Mkojo sitowi mkuu.... HahahaUko tayari kupima Mkojo??Fanyia utafiti ila in short mwenye nayo ndiyo mwenye kisu cha kukatia keki na kijiko cha kulishia hiyo keki,nani ale na nani asile.
Kweli mkuu. Vipi bado unamuombea mkuu??Unajua haki huinua taifa, na wakimbiza mwenge watalala kwa huzuni Isaya 50:11.
Siwaogopi walala kwa huzuni
Taahira huyo achana naeWewe ni empty set, kwahiyo hata kwenye ajira kama watoto wa viongozi wamesoma basi wao wapewe kazi tu mbele ya wengine hakuna haja ya interview
Wengi wao kutoka LumumbaMashoga wapi wengi humu.
HahahaHahahahaha Nimecheka sana[emoji16] [emoji16]