Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Mbona tushasema sana kuhusu Mayanga!!

CEO ni Steven Makigo

Steven Makigo ni Swahiba wa Rais John Pombe Magufuli... hawakukutana barabarani!! Hawa wamesoma pamoja Lake Secondary School.

Akiwa kama waziri wa ujenzi, mwaka 2012 JPM alimteua Steven Makigo kuwa Mjumbe wa TEMESA. TEMESA hii ni ile ile ambayo ilinunua boti kwa mabilioni ya pesa huku boti yenyewe ikiwa na speed sawa na mtumbwi!!

Ni boti ile ile ambayo, ili kuwakata watu midomo wasiijadili, JPM yule yule akaipeleka boti hiyo jeshini! Yaani, Jeshi linapewa boti yenyewe mwendo wa kinyonga!!!

Hilo linawezekana Tanzania peke yake....
Sasa ahnajjhahaa atafika kahwa ajjnaa Dodoma?
 
Kwan kuna kampuni inamana hazifai kupewa tenda kubwa? Nilitaman nijue kama haikidhi viwango basi Ila kama inakidhi haina shida sisi tu nataka maendeleo nahis mtoa mada anakampuni na haifanyi vizur mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama haifanyi vizuri mjini, wangeipa kazi hata ya kijijini chato basi
 
Thobias Marandu alishaweka majibu mezani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anaongea Facts Tupu,Hata Burigi,Bank kujengwa CHATTLE alishasema kitambo kabla hata hawajaanza hizo Plan zao! Kwasasa issue ya kuhamia Dodoma amesema Group la Mfungwa wanataka kununua Majengo yote ya serikali yaliyopo DSM.

MASIMBA KONSITIRAKSHENI inamilikiwa na "MFUNGWA MTARAJIWA".
 
Wabongo wanaumizana wenyewe kwa wenyewe,mlitaka kazi apewe mchina?
 
Wadau, hili ni dudu jingine mjini hapa linapata matenda makubwa ya serikali hii mf chato airport na tender kubwa za lake zone na kigoma.

Kuna tender ilitangazwa nikasikia kampuni moja ya ujenzi inasema kama Mayanga akiomba hawatajisumbua kuomba....

So wajuzi wa mambo naombeni elimu kampuni hili ni la nani? Kwanini Mbarawa anapata kigugumizi juu ya Mayanga?

Nawasilisha
NANI ANAMFAHAMU BABA WA BABA YA MLETA HUU UZI?
 
Bado tunahitaji majibu ya ruzuku za chademq
Hivi mbona watawala hawajifunzi? Hivi mbona wanatuchukulia poa sana?

Mr.Clean Benjamini Mkapa, alifanya yake na Anben yake, akajimilikisha na mgodi wa makaa ya mawe ya Kiwira...sijui alikuwa anawaza nini kichwani mwake wakati anafanya hayo, labda ni ile imani yake kwamba Watanzania ni malofa.

Haya, akaja JK na mambo yake ya Home Shopping Center na Lugumi...pesa na raha za muda mfupi hadi sasa Lugumi nyumba zinauzwa, na hadi wametuletea Dr.Louis Shika.

Sasa, amekuja mkali wa kufight corruptions(sic)...corruptions is a cancer... mapema tu kashfa nzito zinarindima, mara Mayanga mara Madege mabovu mara Uwanja wa Ndege kijijini...

Tunaelekea wapi? Hivi anatuchukuliaje? Kwanini watawala hawajifunzi? Kwanini hawaogopi kufanya haya madudu?
 
Hii Barabara inayoanzia hapa sabasaba kwenda buswelu, haina mfano wake katika barabara zote nilizowahi ziona Tanzania.kuna siri gani nyuma yake?
 
Back
Top Bottom