Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Huwezi kuelewa hadi uwe na akili kubwa. Mazingira yanawekwa makusudi kabisa ili kuhakikisha kampuni ya JIWE ndiyo “inashinda” hiyo zabuni.

Zito hachoki kua mpotoshaji...tender inasema contractor awe anatoka kanda ya Ziwa na ime mention mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ila yeye kwa Makusudi kaitaja Mwanza na Shinyanga na Kuiomit mikoa mingine...anafanya technical error ya Makusudi kabisa just to cause chaos...kwani watu hawawezi ku make their point bila kutia chumvi? Pathetic
 
Huwezi kuelewa hadi uwe na akili kubwa. Mazingira yanawekwa makusudi kabisa ili kuhakikisha kampuni ya JIWE ndiyo “inashinda” hiyo zabuni.
Do u have a proof ya hizo tuhuma au ni hisia tu?
 
Watanzania wanapenda sana umbeya, wakiombwa uthibitisho kila mmoja Hana. Kila mmoja anasema nasikia sasa na aliyemwambia nae akiulizwa atasema nasikia.
Kikubwa document zinamtaja mmiliki vingine vinabaki kusikia Kama ilivyokawaida yetu.
Enzi Za JK tulikua tunasikia pia kila jengo zuri na refu linalojengwa na Riz 1. Katoka madarakani tumeacha kusikia na Wamiliki tunawajua sasa.
Tuendelee kupiga umbea hapa kwenye huu uzi na kusikia maana uthibitisho hakuna ziaidi ya kusikia.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo TUSEME kuipitia Mayanga Contractors, Jiwe anafanya biashara na serikali yake?
FRAUD????????????
1600188171769.png
 
Proof gani tena unataka zaidi ya huo ubaguzi wa wazi kabisa wa kubagua makampuni mengine ya ujenzi Nchini kuomba zabuni ya ujenzi huo? Unadhani ni kwanini pesa ya kujenga uwanja huo ilitumika bila idhini ya Bunge? Unadhani ni kwanini CAG Assad na CAG Kichere wamezuiliwa na huyo anayejiita KICHAA kukagua gharama za ujenzi huo? Je, ana mamlaka ya kukataa Audit? Jibu ni kwamba hana mamlaka ya kukataa ukaguzi wa matumizi yoyote yale ya pesa za walipa kodi lakini kwa vile tuna Bunge DHAIFU ambalo wabunge wa ccm wanaliona kama ni kitengo cha ccm hivyo huyo JIWE anatumia huo udhaifu wao kuikanyaga katiba.

Fungua macho na akili yako ili uone wizi na ufisadi mkubwa wa awamu hii.

Do u have a proof ya hizo tuhuma au ni hisia tu?
 
Proof gani tena unataka zaidi ya huo ubaguzi wa wazi kabisa wa kubagua makampuni mengine ya ujenzi Nchini kuomba zabuni ya ujenzi huo? Unadhani ni kwanini pesa ya kujenga uwanja huo ilitumika bila idhini ya Bunge? Unadhani ni kwanini CAG Assad na CAG Kichere wamezuiliwa na huyo anayejiita KICHAA kukagua gharama za ujenzi huo? Je, ana mamlaka ya kukataa Audit? Jibu ni kwamba hana mamlaka ya kukataa ukaguzi wa matumizi yoyote yale ya pesa za walipa kodi lakini kwa vile tuna Bunge DHAIFU ambalo wabunge wa ccm wanaliona kama ni kitengo cha ccm huyo JIWE anaikanyaga katiba.

Fungua macho na akili yako ili uone wizi na ufisadi mkubwa wa awamu hii.
Samahani ila naona vyote ulivyoviandika ni hisia tu with no valid proof...
Can you provide any material evidence to support your arguments? Kwa mfano una supporting document inaonesha kua walio submit tender walikua wangapi,na alieshinda alishinda kwa vigezo gani?na walioshindwa walikosa kwa vigezo gani maana issue restricted tender zipo nyingi tu, kuna hua zinatolewa ziki specify kabisa kua hizi ni kwa wakandarasi wa ndani tu or waeneo fulani tu ili kuwajengea uwezo wakandarasi wa ndani or ni international tender(am sure km ni mzoefu wa maswala ya tender hili litakua sio geni kwako ila km your not then nakupa tu taarifa)

Hoja ya kutokukaguliwa do you have any supporting document km a memo,barua au audio kuonesha kua wamekataliwa ku audit huo uwanja?Or una mfano wa uwanja wowote uliojengwa karibuni kuonesha kua kiwanja fulani na fulani vilikaguliwa ila huo tu umerukwa just to prove your point?
 
You can believe whatever you want to believe. I know what I am talking about and I am not the type of a person who write something important as this from thin air.

Magufuli is a very corrupt Individual and the evidence to prove his corruption activities are all over the place and for so many years.

Samahani ila naona vyote ulivyoviandika ni hisia tu with no valid proof...
Can you provide any material evidence to support your arguments? Kwa mfano una supporting document inaonesha kua walio submit tender walikua wangapi,na alieshinda alishinda kwa vigezo gani?na walioshindwa walikosa kwa vigezo gani maana issue restricted tender zipo nyingi tu, kuna hua zinatolewa ziki specify kabisa kua hizi ni kwa wakandarasi wa ndani tu or waeneo fulani tu ili kuwajengea uwezo wakandarasi wa ndani or ni international tender(am sure km ni mzoefu wa maswala ya tender hili litakua sio geni kwako ila km your not then nakupa tu taarifa)

Hoja ya kutokukaguliwa do you have any supporting document km a memo,barua au audio kuonesha kua wamekataliwa ku audit huo uwanja?Or una mfano wa uwanja wowote uliojengwa karibuni kuonesha kua kiwanja fulani na fulani vilikaguliwa ila huo tu umerukwa just to prove your point?
 
Samahani ila naona vyote ulivyoviandika ni hisia tu with no valid proof...
Can you provide any material evidence to support your arguments? Kwa mfano una supporting document inaonesha kua walio submit tender walikua wangapi,na alieshinda alishinda kwa vigezo gani?na walioshindwa walikosa kwa vigezo gani maana issue restricted tender zipo nyingi tu, kuna hua zinatolewa ziki specify kabisa kua hizi ni kwa wakandarasi wa ndani tu or waeneo fulani tu ili kuwajengea uwezo wakandarasi wa ndani or ni international tender(am sure km ni mzoefu wa maswala ya tender hili litakua sio geni kwako ila km your not then nakupa tu taarifa)

Hoja ya kutokukaguliwa do you have any supporting document km a memo,barua au audio kuonesha kua wamekataliwa ku audit huo uwanja?Or una mfano wa uwanja wowote uliojengwa karibuni kuonesha kua kiwanja fulani na fulani vilikaguliwa ila huo tu umerukwa just to prove your point?
Kwanza una uelewa wowote kuhusiana na Public Procurement?

Kuna criterias gani zililazimisha tenda kubwa kama hii kutumia restricted tendering. Kwanini wasitumie national competitive? Au unahisi walioweka hivi vigezo walikuwa vilaza sana kuliko huyo unayemtetea.

Kuna ulazima gani wa kuita makampuni machache ya kanda ya ziwa wakati nchi nzima ina makampuni tena mengi ambayo ni very competitive yapo ukanda wa Pwani.
 
You can believe whatever you want to believe. I know what I am talking about and I am not the type of a person who write something important as this from thin air.

Magufuli is a very corrupt Individual and the evidence to prove his corruption activities are all over the place and for so many years.
Mkuu km you know what your talking about na hili ni Jukwaa la great thinkers where we dare talk openly ni nn kinashindikana wewe kutupia ushahidi ili tukate mzizi wa fitina? Otherwise tutakubaliane tu kua hicho unachokisema ni hisia na kichukuliwe km hisia zako na za wengine wanaohisi km wewe until proved otherwise.
Asante sana.
 
Acha kusubiri utafuniwe kila kitu. Usipende KUBWETEKA soma ripoti mbali mbali za CAG Assad na CAG Kichere ili ufahamu wizi na ufisadi wa huyo anayejiita KICHAA. Mbona ripoti hizo huwa zinawekwa hadharani? Huwa UNABWETEKA wapi hadi haya yote usiyajue? 😳

Mkuu km you know what your talking about na hili ni Jukwaa la great thinkers where we dare talk openly ni nn kinashindikana wewe kutupia ushahidi ili tukate mzizi wa fitina? Otherwise tutakubaliane tu kua hicho unachokisema ni hisia na kichukuliwe km hisia zako na za wengine wanaohisi km wewe until proved otherwise.
Asante sana.
 
Acha kusubiri utafuniwe kila kitu. Usipende KUBWETEKA soma ripoti mbali mbali za CAG Assad na CAG Kichere ili ufahamu wizi na ufisadi wa huyo anayejiita KICHAA. Mbona ripoti hizo huwa zinawekwa hadharani? Huwa UNABWETEKA wapi hadi haya yote usiyajue? [emoji15]
Ni kwamba napenda kutafuniwa au ni ww umeshindwa kutoa ushahidi wa tuhuma zako na sasa umehamisha goli...km kuna wizi itakua vyema km utaufungulia thread yake tuujadili huko for now tujikite kwenye hoja mahusisi..
 
Mbona tushasema sana kuhusu Mayanga!!

CEO ni Steven Makigo

Steven Makigo ni Swahiba wa Rais John Pombe Magufuli... hawakukutana barabarani!! Hawa wamesoma pamoja Lake Secondary School.

Akiwa kama waziri wa ujenzi, mwaka 2012 JPM alimteua Steven Makigo kuwa Mjumbe wa TEMESA. TEMESA hii ni ile ile ambayo ilinunua boti kwa mabilioni ya pesa huku boti yenyewe ikiwa na speed sawa na mtumbwi!!

Ni boti ile ile ambayo, ili kuwakata watu midomo wasiijadili, JPM yule yule akaipeleka boti hiyo jeshini! Yaani, Jeshi linapewa boti yenyewe mwendo wa kinyonga!!!

Kuna atakayeshangaa kuona Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania inatangaza tenda lakini inaweka sharti kwamba the bidders wawe kutoka kanda fulani tu, huku wakiweka vigezo vingine vitakavyowafeka Wazabuni ili hatimae Mzabuni wamtakae (Mayanga) asiwe na mpinzani?

Leo hii kuna atakayeshangaa Mayanga Constructions kupewa tenda za ujenzi?!

Kuna atakayeshangaa tukisema Mayanga Construction ilianza kupata tenda kubwa za ujenzi wakati JPM akiwa Wazir wa Ujenzi?!

Sasa ukiona imeandikwa Managing Director wa Mayanga Construction ni Steven Makigo halafu ukadhani ndie major shareholder, na kwa sababu ndie anaonekana kwenye makaratasi, basi ewe ndugu Mtanzania hongera sana!!!

Hilo linawezekana Tanzania peke yake....
Dogo, zana za kijeshi hazitaniwi.

Unavunja sheria
 
Ndiyo tatizo la watu wenye UFINYU wa akili kama wewe. Ripoti za yanayojiri Nchini ikiwemo wizi na ufisadi wa huyo anayejiita jiwe uko hadharani lakini hamzisomi ila mkija humu ni kuja kuonyesha UJUHA wenu tu.

Fiscal year 2016/2017 CAG Assad aliripoti kwamba 1.5 trillions imepotea hazina. Kiongozi mwenye mapenzi ya kweli na Nchi yake angeruhusu Tume huru kuchunguza lakini huyo anayejiita MWENDAWAZIMU akagomea uchunguzi.

Fiscal year 2017/2018 CAG aliripoti 1.2 trillions imepotea hazina na uchunguzi ukagomewa tena. Ndani ya miaka miwili tu hazina ambayo iko chini ya mtoto wa dada yake jiwe Dotto James 2.7 trillions zimepotea lakini MPUUZI wewe huyajui kwa sababu UMEBWETEKA halafu unajiita eti GREAT THINKER 🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe ni ZERO BRAIN!



Ni kwamba napenda kutafuniwa au ni ww umeshindwa kutoa ushahidi wa tuhuma zako na sasa umehamisha goli...km kuna wizi itakua vyema km utaufungulia thread yake tuujadili huko for now tujikite kwenye hoja mahusisi..
 
Wadau, hili ni dudu jingine mjini hapa linapata matenda makubwa ya serikali hii mf chato airport na tender kubwa za lake zone na kigoma.

Kuna tender ilitangazwa nikasikia kampuni moja ya ujenzi inasema kama Mayanga akiomba hawatajisumbua kuomba....

So wajuzi wa mambo naombeni elimu kampuni hili ni la nani? Kwanini Mbarawa anapata kigugumizi juu ya Mayanga?

Nawasilisha
Mme mwenza wa magufuli
 
Ndiyo tatizo la watu wenye UFINYU wa akili kama wewe. Ripoti za yanayojiri Nchini ikiwemo wizi na ufisadi wa huyo anayejiita jiwe uko hadharani lakini hamzisomi ila mkija humu ni kuja kuonyesha UJUHA wenu tu.

Fiscal year 2016/2017 CAG Assad aliripoti kwamba 1.5 trillions imepotea hazina. Kiongozi mwenye mapenzi ya kweli na Nchi yake angeruhusu Tume huru kuchunguza lakini huyo anayejiita MWENDAWAZIMU akagomea uchunguzi.

Fiscal year 2017/2018 CAG aliripoti 1.2 trillions imepotea hazina na uchunguzi ukagomewa tena. Ndani ya miaka miwili tu hazina ambayo iko chini ya mtoto wa dada yake jiwe Dotto James 2.7 trillions zimepotea lakini MPUUZI wewe huyajui kwa sababu UMEBWETEKA halafu unajiita eti GREAT THINKER [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe ni ZERO BRAIN!
Itoshe tu kusema sio sahihi kumshambulia mtu usiemfahamu kwa maneno ya kejeli, kuudhi na kutweza utu wake kisa tu mmetofautiana mtazamo...hua naamini ktk nguvu ya hoja na sio matusi...na mtu akishaanza matusi na jazba then hoja zimemshinda so anatafta njia za kukutoa kwenye mstari...
When you go Low i go high bro...
kikubwa ni kukuacha uamini unachoamini na mimi nibaki nachoamini...ila next jifunze kua mstaarabu.
 
I call a spade by its real name there is no need to run around in order to hide the truth.

Itoshe tu kusema sio sahihi kumshambulia mtu usiemfahamu kwa maneno ya kejeli, kuudhi na kutweza utu wake kisa tu mmetofautiana mtazamo...hua naamini ktk nguvu ya hoja na sio matusi...na mtu akishaanza matusi na jazba then hoja zimemshinda so anatafta njia za kukutoa kwenye mstari...
When you go Low i go high bro...
kikubwa ni kukuacha uamini unachoamini na mimi nibaki nachoamini...ila next jifunze kua mstaarabu.
 
Yana mwisho. Kuna cku huyo Mayanga chini ya utawala qa mtu mwingine kesi walizotunga wenyewe za hujumu uchumi ZİTAMKABİLİ ATAWATAJA WOTE WASHİRİKA WAKE. Just a question of time. Waliotesa wakat wa JK ndo wako magerezan. Na yeye wake na yeye pia wakat wao wa kuwa magereza utafika tu. Muhimu uhai
 
Back
Top Bottom