Kampuni inayomiliki Tigo yabadili jina, sasa ni Honora Tanzania

Hasara tigo!?..tigo ndiyo kampuni ghali ya simu tz
 
Mkuu inahuzunisha sana.
 
Ni kwamba wawekezaji hupewa miaka 5 ya operation bila kulipa kodi then baada ya huo mda ndonhuanza kulipa kodi. Jamaa wanafanya 3 ama 4 years wanauza kwa madai wamepata hasara. Atakayekuja anaaza tena miaka 5 bure kudadeki
 
Ni kwamba wawekezaji hupewa miaka 5 ya operation bila kulipa kodi then baada ya huo mda ndonhuanza kulipa kodi. Jamaa wanafanya 3 ama 4 years wanauza kwa madai wamepata hasara. Atakayekuja anaaza tena miaka 5 bure kudadeki
Duuuh huu uboya sasa...mfanyabiashara mdogo amewekewa tozo kibao kabla hata ya kupata leseni wafanyabiashara wakubwa wanapiga hela wanasepa..
 
Kwa hisani ya RA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…