KAMPUNI MABASI YA DAR TANZANIA

Bora nilipe kidogo ila nipate huduma za ukweli ndo maana tahmeed kwa kujua hatutaki panya kawachia hukohuko majeneza yenu huku full kipupwe
Hivi kumbe ile miheneza imebakia kenya. Ndo maana siku hizi haiji TANZANIA
 
Mkuu unaweka maloli unajisifia. Kwa swala la usafiri wa mabasi kenya mtasubili sana
 
Yaani mnajisifia karoute kamoja ka nairobi - mombasa. Hivi mombasa si iko karibia na Tanga. Ndo maana inamabasi angalau. Onyesha ile kitu inaenda mpkani na somalia tuone.
 
Tahamed imebadilikia Tanzania. Baada ya kuona mingalangala yake watu hawapandi. Shukrani ziende kwa RATCO na makampuni mengine yaliyoleta luxury bus za kwenda mombasa. Maana Tahamed aligoma kubalika. Sisi tukaamu kumbadilisha. Tanzania sio nchi ya mchezo mchezo bwana
 
BTR pia tunakuja tu



Mkuu kwa hiyo video public transport system in nairobi is pathetic. Poleni sana aisee.
Kuna watu including myself tulikosoa sana BRT dar kwamba that amount of money we should've built flyovers, but now I realize kikwete alicheza karata dume.

Halafu BRT isn't only having buses in the city my friend, it has to meet certain conditions. They say a true BRT system must have a specialized design, services and infrastructure..
Like the one we have in Dar.
BRT is a nice thing to decongest cities,
Lazima mjenge miundombinu yake na sio buses only,[/QUOTE]
Jamaa alicheza karata sana. Yaani ata kukiwa na watu 500 basi 3 kwisha wote. Yaani 15 minutes uko kwa ofisi unachapa kazi. Ni umbali zaidi ya 5km
 
Some of these guys are just being so great to what is otherwise pathetic. Nini cha kukubalika hapo? Trucks heavily infested with kungini? Come on, get back to your sense.
Inabidi wafanye Farmington kwanza kwenye magari yao.
 
Kenya ni nchi ya ajab sana...malighafi na mapato vyoote viliwekezwa only Nairobi...ukishamaliza nairobi tu ukazunguka nchi nzima kwingineko huwez taman kuishi kenya...barabara ni vumbi, maeneo mengi ni nyika, maisha magumu nikisema magumu hakuna kifani..Kenya acheni sifa za mitandaoni
 
lazma kampuni igeuke nyumbani mwanzo, mambo ya luxuru coaches huku yalianza mwaka wa 2009, kama unafikiri competion ni kali dar, njoo nairobi utajua competition ni nini, niambie ni kampuni ngapi za ma basi zimeweza kupenya East Africa nzima za kutika dar compared to za kutoka kenya...... Huku kenya competion ndo order of the day
 
Inabidi wafanye Farmington kwanza kwenye magari yao.
You only need 1 person to bring a bedbug into your bus... thats it... huku kenya kulikua na outbreak miaka ya 2010... magari mengi ilibidi yakue fumigated na hio shida ikapotelea mbali.....




Hata marekani wanashida ya kunguni zinaingia hadi ndani ya ndege, imagin unapiga safari ya masaa tano alafu kitichako kimejaa kunguni, hapo ndo utatamani ushuke juu ya hewa



------
British Airways plane infested with bed bugs was allegedly kept in service despite staff knowing about the problem - a claim the airline denies.
The Sun reports that staff at the airline logged the issue after the insects were spotted – and passengers bitten – on a flight from the US to Heathrow last week. So serious was the problem that an entire row – 47 – was closed in economy class, the newspaper said.
But staff claimed that engineers did not have time to deal with the bugs and bosses decided to keep the aircraft in service. Days later another “severe” infestation was reported on the same Boeing 747 during a flight from Cape Town to Heathrow.
British Airways denied that it had allowed the plane to return to the sky after the outbreak was discovered.
Bed bug outbreak on British Airways flight


https://theawl.com/i-saw-a-bed-bug-on-the-bus-f0b28c916bed#.cmfw0vz54


How to Prevent Bed Bugs From Coming Home With You - The Gate
 
hata kampuni za long distance za dar ziko na kunguni

Habari wadau,
Nipo njiani nasafiri kuelekea nyumbani kwenye msiba na nimepanda gari la Mohamed trans linalofanya safari za Bukoba-Dar.
Kwakweli huduma za magari haya yaliyowahi kupata sifa kedekede kwa huduma nzuri kipindi cha nyuma ni mbaya sana.
Kwanza gari ni chafu sana kwa ndani na inaonesha uchafu huu ni wa siku mbili zimepita. Mbaya zaidi gari lina kunguni hatari na kila abiria amelalamikia jambo hili ila wahudumu wa gari hili hawana maneno ya staha kwa abiria.
Binafsi nimekereka sana na suala hilI na nilipojaribu kumwambia muhudumu amejifanya kuwa mkali nami nikampandishia basi hapajatosha.
Imagine kunguni wanaonekana kwenye mwanga huu sasa sijui ikifika usiku itakuwaje maana magari ya Bukoba ni ya kulala Kahama na kumalizia safari kesho yake.
Nimekereka sana na sipendi mtu mwingine akereke kama.
Hii kampuni imebaki jina tu lakini huduma mbovu sana sijapata kuona.
Kilichonikera ni gari kuwa na kunguni,haiwezekani ulipe nauli 60,000/= alafu upewe huduma kama ng'ombe wanasafirishwa kwenda mnadani.
Asanteni na mniombee nifike salama

Attached Files:

https://www.jamiiforums.com/threads/hatari-abiria-wa-bukoba-msipande-magari-ya-kampuni-ya-mohamed-trans.731386/
 
ya 2015



Hivi majuzi nilibahatika kuzunguka baadhi ya mikoa ya Tanzania Bara/Tanganyika kwa kutumia usafiri wa mabasi ya abiria.
Cha kusikitisha basi moja la kampuni fulani nililopanda lilikuwa na kungunguni wengi ajabu. Kunguni wale hawakuwa na aibu walikuwa wanatoka kwenye ma'cover'/foronya ya/za viti vya basi hilo na kung'ata mchana kweupe.
Wakati tunaanza safari hiyo basi lilikuwa halijajaa, Baada ya kuwastukia kunguni wale kwenye siti yangu nikaamia kwenye kiti/siti nyingine, kule ndo nikakumbana na kunguni watoto lakini 'barubaru' kwa kung'ata, Nikarudi kwenye siti yangu ya awali.
Sikuvumilia kung'atwa na kunguni wale bila kulalamika, nilimuita konda kumueleza kero ya kunguni kwenye basi lake. Kwa siri , konda, nikamuonyesha kikosi cha kwanza cha kunguni kilichokuwa kwenye egemo la mgongo wangu waliojibanza karibu na tobo la foronya la siti yangu. Akashtuka 'kiana', alichosema nikuwa basi lile alikabidhiwa jana yake.
Na jana hiyo kazi aliyoanza nayo ni kupambana na mende kwenye basi hilo waliokuwa wengi kiasi cha kutishia abiria kususia basi. Akanihakikishia kuwa na hao mende hakuwamaliza vizuri.
Mwisho wa mazungumzo yetu alimrudikia konda aliyekuwa anasimamia basi hilo hapo awali kwa usumbufu huo. Nilichokifanya, tulipofika sehemu ya kuchimba dawa, mimi nilishuka kwenye basi hilo na kwenda kuchimba namba za gari/basi hilo maana walikuwa hawajaandika namba za basi hilo kwenye tiketi/risiti ya nauli ya basi.
Nilisafiri kwenye basi hilo nikiwa roho juu, ingawa haikuwa mara yangu ya kwanza kuumwa/ng'atwa na kunguni! Niliwahi kungatwa nilipokuwa shule ya Bweni enzi hizo.
SWALI KWA WADAU:
1. Ni nani anahusika kuwawajibisha, wamiliki, makonda, hata madereva wa mabasi yenye kuhatarisha afya za wasafiri?
2. Mimi kama abira sikunyingine nikikumbania na kadhia ya namna hiyo nikashtaki wapi ili wawajibishwe wahusika kwa uzembe huo?
USHAURI:
Abira wote wa vyombo vya usafiri kuweni makini mnapopanda vyombo hivyo kwa kuhakikisha havina vihataraishi vya afya zenu kama, kunguni, mende, nakadhalika.
Update:
=======
Kama nilivyoahidi: ZUBE TRANS (Moshi-Mwanza), siti namba F1, T954 AHH: nauli 35,000/=

we
Kunguni na Mende ndani ya basi la abiria!
 
Kwetu maajabu ila kwenu huko mmeshazoea ni hali ya kawaida kabisa na wala hamshtuki
 
Hao mabwana zenu mnaowafurahia wanawapandishia gharama za maisha tu huku wenyewe wakifaidi nchi halafu unakuta wazawa wamepigika kupita kias Kenya ione tu kwenye picha au tv ila ukiingia mtaani watu wana maisha magumu sana kupita kiasi yani kule kila mtu ni mwizi mtarajiwa wamebaki kuliana timing tu wenyewe kwa wenyewe
 
Kwetu maajabu ila kwenu huko mmeshazoea ni hali ya kawaida kabisa na wala hamshtuki
Usijaribu kukimbia story, wakenya ni watu wakorofi, watu wa kuzusha......
besides, hakuna mtu anaeza zoea bite ya bedbug, mi sijawai umwa na bedbug lakini nishawai kuona sistangu aliangushiwa kwa nyumba yake, nakwambia after alivamiwa na hao wadudu aliamka na kuingia gari na kwenda nyumbani kwa wazazi, yani hao wadudu walim-humble
 
Hata ukijitetea how does this go into a receivership its not even 7months since!!!


Hautaruka story!!

Wewe Mkenya nyang'au tulia. Huna Hata mahali pa kuishi unajadili mambo ya wanaume.

Unatamani sana ungezaliwa mtz lakini ndio hivyo tena umezaliwa nyang'au na kamwe huwezibadili Hilo.

Tuliza kipago!!!!
 
Wewe Mkenya nyang'au tulia. Huna Hata mahali pa kuishi unajadili mambo ya wanaume.

Unatamani sana ungezaliwa mtz lakini ndio hivyo tena umezaliwa nyang'au na kamwe huwezibadili Hilo.

Tuliza kipago!!!!
Danganyikan republic
 
Ila Kenya mabasi mabovu ni yale ya short distance pekee. Tz utapata basi la kuenda kilomita 1000 ni bovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…