Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

Nani wa kumuoa huyu?
Mtu anashinda jf mda wote unafikiri anamuda hata wa kusafisha injini yake?
Mchafu kuoga huyu.

Sheikh Mohamed Said katika darsa zake anasema ukiona mtu anaanza kutukana ujuwe umemshinda kwa hoja.

Hoja yangu inabaki palepale, Mheshimiwa angetumia Kiswahili kufikisha ujumbe wake, Kiingereza hakijui kukiandika ipasavyo. Kama ni yeye aliyeandika, mpaka sasa nashindwa kukubali.
 
Hivi bado mpo zile enzi za kutoangalia mtu anajua nini, mnaangalia anajua kiingereza kiasi gani? Nchi yenu bado sana. Yaani jaribu kupitia Japan, China, Germany, France na Nchi nyingi za kiarabu, kiingereza hata sio lugha yao ya pili, wanaongea kueleweka, km huelewi uje na mkalimani wako...haiwahusu

Soma vizuri, nnasema angeandika Kiswahili, hao wote uliowataja wanatumia lugha zao za Taifa na Mheshimiwa angefanya la maana kutumia Kiswahili kuliko kutumia Kiingereza ambacho hakielewi. Sasa sijuwi wewe unachokipinga ni nini? Unanchekesha!
 
Izo tabia aya makampuni yetu wanazo sana!
Kama wamehack SUGU komaa nao mpaka kieleweke maana una maadui wengi pia.
Alafu suala la lugha msingi wake ni watu kuelewana sasa whether iko grammatically and structurally wrong as long as the message is sent and delivered sioni tatizo apo
 
Hilo wala hujakosea, kaeleweka tena vizuri sana na kwa ufasaha mkubwa kabisa.

Bungeni ushamsikia anvyo mwanga vina> huwa ananifurahisha sana nikimsikia, hususan anaposoma hotuba.

No. I never hate anyone, I like Mr. Sugu indeed, my criticism is highly progressive and should be commended, I wouldn't like to see Mr. Sugu repeating the same mistakes again. Still wondering if he is the one who wrote that, Its incomprehensible.

kwa kiingereza fasaha unapotumia neno REPEAT hutakiwi kuweka neno AGAIN, lakini haikuzuii wewe kuandika jambo kwa kiingereza kwa kiasi unachojua wewe kama ambavyo ilivyo kwa wengine! they say practice makes perfect! but anyway, do not worry, it's a common mistake.
 

‎...i hear some corrupted employees r helping some people to hack my phone...beware phone company,coz im gonna sue u with a foreign lawyer whom u cant corrupt...im serious!!! - joseph mbilinyi "mp"

what a joke .....
 
Sheikh Mohamed Said katika darsa zake anasema ukiona mtu anaanza kutukana ujuwe umemshinda kwa hoja.

Hoja yangu inabaki palepale, Mheshimiwa angetumia Kiswahili kufikisha ujumbe wake, Kiingereza hakijui kukiandika ipasavyo. Kama ni yeye aliyeandika, mpaka sasa nashindwa kukubali.

Huna jipya wewe mchafu kuoga.
 
​una mtoto wa kike mkubwa?
 
Soma vizuri, nnasema angeandika Kiswahili, hao wote uliowataja wanatumia lugha zao za Taifa na Mheshimiwa angefanya la maana kutumia Kiswahili kuliko kutumia Kiingereza ambacho hakielewi. Sasa sijuwi wewe unachokipinga ni nini? Unanchekesha!


HIVI NI SIJUWI AU SIJUI??
 
mnayemsema ana kiingereza kibovu jana kafunika kwa maelfu ya watu ruge kabaki ametoa macho kama malaya aliyedhulumiwa pesa yake ya usiku mzima na polisi
 
Kikwete anakijuwa Kiingereza huwezi kumkuta hata siku moja kaandika kama huyu mbunge wa magwanda. Au kamsome January, japo na yeye bado kwa kiasi fulani lakini ni bora kwa Kiingereza kuliko huyu kijana, halafu kuongea Kiingereza sio kuandika Kiingereza ni vitu viwili tofauti, kuna hata Waingereza chungu nzima ndio lugha yao mama lakini hawajui kukiandika. Fikiri.

Nimewahi kuona washamba, lakini wewe ni mshamba[SUP]2[/SUP]. Unapenda sana kushobokea Kiingereza. Si mara ya kwanza nimesoma humu ukilalamikia watu hawajui kiingereza. Kweli wewe ni mtumwa wa lugha. Kwa kujua kwako kiingereza sijui umeshapanda madaraja mangapi (I mean grade etc). Sasa kama unaona wenzako hawajui kiingereza na kwa ushamba wako unaona ni lazima wajue, anzisha English Tuition basi watu waje kujifunza. Miaka 50 ya uhuru tumetoka utumwani kumbe kuna vilaza kama wewe walibakia humo. POLE SHOSTI!!!!
 
daaa, mbunge huyu kila siku anajipya, kesho sijui atakuja na lipi......
 
Hapana si hivyo kijana, kama huijuwi lugha ya watu wa heshima bora usiandike, yule ni Mheshimiwa, na katika Kiingereza kuna lugha ya heshima.
we kichwa chako ni kibovu hakuna siku umeongea point , una akiri mbovu kama za nape . we kweli nguluwe
 
kwa kiingereza fasaha unapotumia neno REPEAT hutakiwi kuweka neno AGAIN, lakini haikuzuii wewe kuandika jambo kwa kiingereza kwa kiasi unachojua wewe kama ambavyo ilivyo kwa wengine! they say practice makes perfect! but anyway, do not worry, it's a common mistake.

Huelewi kiingereza, usitafute pakutokea. :
GOP Wanted Austerity In 1937 And We're Repeating It Again

http://bonescythe.blogspot.com/2011/10/ytlp-repeating-history-again.html

http://www.sodahead.com/united-states/us-history-repeating-itself-again-and-again-how-wall-street-occupied-america/question-2268019/

http://www.worldaffairsjournal.org/article/deja-vu-all-over-again-are-we-repeating-vietnam
Symptom of dementia repeating phrase over and over again. - AgingCare.com

Kijana, grammar wewe huijui, jifunze kutoka kwangu. Sikisii
 
Kikwete anakijuwa Kiingereza huwezi kumkuta hata siku moja kaandika kama huyu mbunge wa magwanda. Au kamsome January, japo na yeye bado kwa kiasi fulani lakini ni bora kwa Kiingereza kuliko huyu kijana, halafu kuongea Kiingereza sio kuandika Kiingereza ni vitu viwili tofauti, kuna hata Waingereza chungu nzima ndio lugha yao mama lakini hawajui kukiandika. Fikiri.
Labda nikusaidie Bibiye kwa kusema amekosea lugha nafikiri hata kiswahili angekosea usingesema hivi. Mfano watu kusema hakunaga n.k Hapo umeonesha una element za utumwa tuu
 
Back
Top Bottom