Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

Umekosa hoja inanivaa mimi, hapo ndiyo unapoonesha kuwa ujana wako hauna faida wala maana. Mie ndiyo FF, Golden Age, utaniona hivi hivi, na wenzako wanafunguwa ma nyuzi ya kunipenda huko, au hujayaoja? Unanchekesha!

Tena kuambiwa mzee ni sifa kubwa kwangu, MashAllah, mzee ambae anakugaragaza kijana mpaka unaishiwa hoja unaanza viroja. Unanshangaza!
Sikisii.

Hujawaambia bado wanajamvi,naomba uwaweke wazi.kwani kukubali wewe ni mzee ni dhambi?
Nipo kwenye mchakato wa kuwashinikiza ma mods wakufungulie jukwaa lako(la wazee) mana wewe ni bibi yangu lakini unajifanya kijana.
Mzee upo?
Usije nipa laana mana wazee kwa kuloga hamjambo.
 
YUKO SERIOUS KAMA ANAVYOSEMA HAPO CHINI
Joseph Mbilinyi
‎...i hear some corrupted employees r helping some people to hack my phone...beware phone company, coz im gonna sue u with a foreign lawyer whom u cant corrupt...im serious!!!

Sugu ndg yetu, do you mean all our local lawyers are corrupt? I don't believe!
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.

Kumbe Ubunge ni kiingereza! nilikuwa sijui, hata bunge la china wanaongea kiingereza.
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.

mbona kaeleweka ,stop hating..isitoshe ni kwenye facebook sio kwenye press conference au bungeni
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.

Namuonea huruma mume wako..kapata mke punguani,atapata watoto punguani ataleta kizazi kama cha akina Livingstone Lusinde mbunge wa Mtera....
 

Kwa kweli umeowa maana huyu mume wako atakuwa anapata taabu sana,maana wewe kila siku na akina Mwigulu Nchemba,Lusinde na baba lao ******....nadhani umeowa kazi yako kushinda JF tangu asubuhi mpaka linatua na unaandika uharo tu hapa...
 
Hiyo kijana ni typing mistake na si kutokujuwa, tazama i na u ziko wapi kwenye keyboard, lakini umesoma ya Mheshimiwa huko juu?

Typing mistake= typing error...pitia common mistakes in English
 
WaTZ tutaendelea lini? Vitu vidogo-vidogo tu tunaponda...Angalia sasa hadi tumekwenda nje ya topic,huh
 
Ukiwa mbunge unapata hadhi ya Uheshimiwa na ukiwa Mheshimiwa unatakiwa ujumbe unaoutowa siku zote uwe wa heshima na unafanana na hadhi yako, si huu ulioletwa hapa mpaka sasa nashindwa kuamini kama hii kitu kaandika Mheshimiwa Sugu, Mbunge wa Jiji la Mbeya.
Shame on you, na bado mtatumika sana na mwisho kutupwa kama kondom.
 
Shame on you, na bado mtatumika sana na mwisho kutupwa kama kondom.

Kama shame kusema kweli basi hapo utakuwa wewe ni great thinker kweli kweli. Hayo mengine ni matusi, na ukiona mtu anaanza kutukana ujuwe kashindwa hoja.

Hoja inabaki palepale, Mheshimiwa angetumia Kiswahili kufikisha ujumbe wake, Kiingereza hajui kukiandika ipasavyo. Kama ni yeye aliyeandika, mpaka sasa nashindwa kukubali.
 
Typing mistake= typing error...pitia common mistakes in English

Wala hujakosea na wala sibishi kwa hilo, nnachosema mimi Mheshimiwa hajui kuandika Kiingereza ipasavyo na angetumia Kiswahili badala ya kujidharaulisha kuandika lugha ya kigeni asiyoiwezea vizuri. Hivi kuandika Kiingereza ambacho hukijuwi vizuri ni ujanja au ujinga? mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa hayo yameandikwa na Mheshimiwa Mbunge.
 

Kwa kweli umeowa maana huyu mume wako atakuwa anapata taabu sana,maana wewe kila siku na akina Mwigulu Nchemba,Lusinde na baba lao ******....nadhani umeowa kazi yako kushinda JF tangu asubuhi mpaka linatua na unaandika uharo tu hapa...

Nimeoa na mimi ndiyo nimekuelezea, huna haja ya kunihakikishia hilo ambalo hukulifikiria.

Sheikh Mohamed Said katika darsa zake anasema ukiona mtu anaanza kutukana ujuwe umemshinda kwa hoja.

Hoja yangu inabaki palepale, Mheshimiwa angetumia Kiswahili kufikisha ujumbe wake, Kiingereza hajui kukiandika ipasavyo. Kama ni yeye aliyeandika, mpaka sasa nashindwa kukubali.
 
Namuonea huruma mume wako..kapata mke punguani,atapata watoto punguani ataleta kizazi kama cha akina Livingstone Lusinde mbunge wa Mtera....

Mheshimiwa angetumia Kiswahili kufikisha ujumbe wake, Kiingereza hajui kukiandika ipasavyo. Kama ni yeye aliyeandika, mpaka sasa nashindwa kukubali.
 
Hapa huna pakutokea bora wenzako wameamuwa kumtambuwa Rais waliemsusa.
Ndiyo, nilijua tu hapa issue ni kupinga chadema na wala siyo English ya Sugu. Na correction huwa unafanya kwa wabunge wa cdm tu. Shame on you.
 
Hivi bado mpo zile enzi za kutoangalia mtu anajua nini, mnaangalia anajua kiingereza kiasi gani? Nchi yenu bado sana. Yaani jaribu kupitia Japan, China, Germany, France na Nchi nyingi za kiarabu, kiingereza hata sio lugha yao ya pili, wanaongea kueleweka, km huelewi uje na mkalimani wako...haiwahusu
 
mbona kaeleweka ,stop hating..isitoshe ni kwenye facebook sio kwenye press conference au bungeni

Hilo wala hujakosea, kaeleweka tena vizuri sana na kwa ufasaha mkubwa kabisa.

Bungeni ushamsikia anvyo mwanga vina> huwa ananifurahisha sana nikimsikia, hususan anaposoma hotuba.

No. I never hate anyone, I like Mr. Sugu indeed, my criticism is highly progressive and should be commended, I wouldn't like to see Mr. Sugu repeating the same mistakes again. Still wondering if he is the one who wrote that, Its incomprehensible.
 
Hujawaambia bado wanajamvi,naomba uwaweke wazi.kwani kukubali wewe ni mzee ni dhambi?
Nipo kwenye mchakato wa kuwashinikiza ma mods wakufungulie jukwaa lako(la wazee) mana wewe ni bibi yangu lakini unajifanya kijana.
Mzee upo?
Usije nipa laana mana wazee kwa kuloga hamjambo.

kuloga = kuroga
 
Back
Top Bottom