Hapo ndipo nakuona hata wewe Kiingereza bado hujakomaa. Nakumba "google" tena upate elimu, kwa kuanzia soma hapa chini halafu fananisha na bilichokueleza mimi ambacho unasema ni "irrelevant" :
A
typographical error (often shortened to
typo) is a mistake made in, originally, the manual
type-setting (
typography) of printed material,
or more recently, the typing process.
The term includes errors due to mechanical failure or slips of the hand or finger,[SUP]
[1][/SUP] but usually excludes errors of ignorance, such as
spelling errors. Before the arrival of printing, the "copyist's mistake" or "scribal error" was the equivalent for
manuscripts. Most typos involve simple duplication, omission, transposition, or substitution of a small number of characters
soma zaidi:
Typographical error - Wikipedia, the free encyclopedia
Nilikuambia mimi huwa sikisii, wewe hunielewi, lakini napenda kwa kuwa unapa elimu kwa ubishi wako.
Kumbuka yule Mheshimiwa hakufanya "typographical error" hiyo niliifanya mimi, yeye zaidi ya kukosea hata "grammar" kakosea pia "spelling" au kafanya "spelling error" ambayo ni kosa la kuwa "ignorant".