Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

Ndio maana hatuendelei

Kama kujua kiingereza vizuri kingekuwa ni kigezo cha maendeleo basi Wachina, Wajapani na Wakorea wangekuwa bado wako nyuma kimaendeleo kama ilivyo Somalia, Siera Leone, Chad, Haiti, Tanzania na Msumbuji. Kigezo cha maendeleo ni uwezo wa kuyatawala mazingira kwa kutumia Sayansi na Teknolojia bwana ikiambatana na research and Development!!! Kalagabaho Rejao na dada yako FF.
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.

Kwani yuko kwenye interview british council.......wewe vipi??by the way kiingereza sio lugha yake ni lugha ya ziada tu.....pia anapowasiliana na wananchi wake anatumia kiingereza au kinyakyusa/kiswahili........? kama huna cha ku comment ni heri umtengenezee mumeo halua
 
Mkubwa! Kufatilia minor spell error ni kupoteza wkt na ni extravagancy za kb's zako! hatupo hapa kw ku'discus spell error mbona threads zako nyingi naziperuzi zaonesha perfomance yako iko juu, hapa umekuaje?

Nashangaa sana watu ambao hawapendi kuuona ukweli wala kuona wengine wanaambiwa ukweli, hivi nyinyi ndiyo wale wapambe? mtu hata kama anakosea mnashindwa kumkosowa?

Sasa hivo alivyoandika Mheshimiwa Sugu kweli mnaona ni sawa kabisa Mheshimiwa atumie neno kama
"cant" ambalo kwa lugha ya heshima ya Kiingereza huwa defined as "whining or singsong speech, especially of beggars".

Lakini siwashangai sana mnaoshikilia bango hapa, wengi wenu pengine bado hamjaelewa hata nnachokielezea ni nini?

mkuu nami nimemjibu huyo ff kutokana na alichokosoa kwenye post yake kama ilivyo hapo kwenye bluu, kilichokosekana kwenye "cant" ni just an apostrophe(can't) which i consider a minor error too lakini kaishikia bango mpaka katoa na definition! it was not my intention to consider such a minor error but nilikuwa napita kwenye barabara ile ile anayopita yeye!
 
Kwaaaakwakakwaaaaa, nakusikitia sana kwa kwenda kupekuwa ni dikshenari uchwa, bado hujajuwa, lakini hivyo ndivyo inavyo takiwa ubukuwe na uwe makini.

ni kweli nilliangalia kwenye kamusi baada ya kuhisi kiingereza chako hakinipi ladha nzuri na hasa ukizingatia mimi ni mdau wa masuala ya typography, nikaona umeboronga lugha ya watu licha ya kuwa hutaki kukubali kushindwa, yawezekana ubishi ni umbile lako kama vile mtu mwenye chongo au kengeza! kwa kifupi TYPOGRAPHY is the art or style of printing, na kwa hivyo typographical error kamwe haiwezi kuwa typing or spelling error! na kuhusu fyongo zako za kiswahili hapo kwenye red, nakushauri umuone Profesa Abdallah Jumbe Safari akupe tiba maridhawa ya lugha yetu ya kiswahili.
 
ni kweli nilliangalia kwenye kamusi baada ya kuhisi kiingereza chako hakinipi ladha nzuri na hasa ukizingatia mimi ni mdau wa masuala ya typography, nikaona umeboronga lugha ya watu licha ya kuwa hutaki kukubali kushindwa, yawezekana ubishi ni umbile lako kama vile mtu mwenye chongo au kengeza! kwa kifupi TYPOGRAPHY is the art or style of printing, na kwa hivyo typographical error kamwe haiwezi kuwa typing or spelling error! na kuhusu fyongo zako za kiswahili hapo kwenye red, nakushauri umuone Profesa Abdallah Jumbe Safari akupe tiba maridhawa ya lugha yetu ya kiswahili.

Na hivi mpaka hapo bado hujaelewa kuwa teknolijia imetupelekea ku type na kuona tunayo ya "type" katika "screen" zetu na tunaweza tuka "print" tuliyo ya "type" tukiwa popote duniani mradi tuwe na mtandao, kompyuta, na "printer". Usiwe finyu wa kimawazo ukajifunga funga kuwa "typography" inaishia katika kiwanda cha kuchapisha tu, typography ya leo unaweza kuifanya popote ulipo, kuna ma printer siku hizi yana print mpaka kwenye keki na chanzo cha hiyo art yote ya printing kwa sasa ni komputa. Uko wapi wewe, funguka.
 
Kama kujua kiingereza vizuri kingekuwa ni kigezo cha maendeleo basi Wachina, Wajapani na Wakorea wangekuwa bado wako nyuma kimaendeleo kama ilivyo Somalia, Siera Leone, Chad, Haiti, Tanzania na Msumbuji. Kigezo cha maendeleo ni uwezo wa kuyatawala mazingira kwa kutumia Sayansi na Teknolojia bwana ikiambatana na research and Development!!! Kalagabaho Rejao na dada yako FF.

Naona hujamuelewa Rejao, anamaanisha hatuendelei kwa kuwa tunapaparikia lugha za watu wakati hatuzijuwi na ukisoma mwanzo tu tumemwabia bora angetumia Kiswahili, mfano wa hizo nchi zilizoendelea ulizozitaja ni mzuri sana, wao wanajivunia lugha zao na huwaoni wakapaparikia Kiingereza wasichokijuwa. Na ndiyo hilo tunalomwambia Sugu, kama hajuwi Kiingereza vizuri usituaibishe, aitukuze lugha yake ya Taifa, atumie Kiswahili, yeye ni Mheshimiwa anatakiwa awe mfano bora, kuendelea kutumia lugha ya watu na huku haijuwi vizuri ndiyo maana Rejao anasema "ndiyo maana hatuendelei".

Upo hapo ulipo Ma Mdogo?.
 
Nashangaa sana watu ambao hawapendi kuuona ukweli wala kuona wengine wanaambiwa ukweli, hivi nyinyi ndiyo wale wapambe? mtu hata kama anakosea mnashindwa kumkosowa?

Sasa hivo alivyoandika Mheshimiwa Sugu kweli mnaona ni sawa kabisa Mheshimiwa atumie neno kama
"cant" ambalo kwa lugha ya heshima ya Kiingereza huwa defined as "whining or singsong speech, especially of beggars".

Lakini siwashangai sana mnaoshikilia bango hapa, wengi wenu pengine bado hamjaelewa hata nnachokielezea ni nini?

mkuu nami nimemjibu huyo ff kutokana na alichokosoa kwenye post yake kama ilivyo hapo kwenye bluu, kilichokosekana kwenye "cant" ni just an apostrophe(can't) which i consider a minor error too lakini kaishikia bango mpaka katoa na definition! it was not my intention to consider such a minor error but nilikuwa napita kwenye barabara ile ile anayopita yeye!

Kitu unachoshindwa kuelewa hiyo mistake ni kubwa sana kwani "cant" ni neno linalojitegemea.
 
Kwani yuko kwenye interview british council.......wewe vipi??by the way kiingereza sio lugha yake ni lugha ya ziada tu.....pia anapowasiliana na wananchi wake anatumia kiingereza au kinyakyusa/kiswahili........? kama huna cha ku comment ni heri umtengenezee mumeo halua

halua = halwa
 
halua = halwa

bibi kizee
Ajuza
Mkongwe wa jamvi
Uliyekula chumvi nyingi na mwenye upumbavu 1st class.
Mwenye kutumia nguvu nyingi kwenye keyboard kuliko kutazama familia yako.
Mwenye chuki na vijana,kipenzi cha wajinga.
Adui wa werevu na wataalamu.
Mwingi wa ubishani kuliko ushindani.
Kupe aliyezeeka.
Ngozi ya kenge!
 
Kitu unachoshindwa kuelewa hiyo mistake ni kubwa sana kwani "cant" ni neno linalojitegemea.

ni kweli kuwa "cant" ni neno linalojitegemea lakini hiyo haibadilishi ukweli kwamba jamaa alifanya kosa dogo(kwa makusudi au kusahau) kutoweka apostrophe ili iwe "can't", na kwa mtu anaejua English vizuri na pia kutokana na mpangilio wa sentensi ni rahisi kubaini alikuwa anamaanisha "can't" na kwa mbumbumbu au mgeni wa lugha hiyo atapata shida kubaini kama ilivyo kwako wewe!
 
bibi kizee
Ajuza
Mkongwe wa jamvi
Uliyekula chumvi nyingi na mwenye upumbavu 1st class.
Mwenye kutumia nguvu nyingi kwenye keyboard kuliko kutazama familia yako.
Mwenye chuki na vijana,kipenzi cha wajinga.
Adui wa werevu na wataalamu.
Mwingi wa ubishani kuliko ushindani.
Kupe aliyezeeka.
Ngozi ya kenge!

Huna hoja? una viroja, mbona hujamalizia? Selebriti JF namba 1.
 
ni kweli kuwa "cant" ni neno linalojitegemea lakini hiyo haibadilishi ukweli kwamba jamaa alifanya kosa dogo(kwa makusudi au kusahau) kutoweka apostrophe ili iwe "can't", na kwa mtu anaejua English vizuri na pia kutokana na mpangilio wa sentensi ni rahisi kubaini alikuwa anamaanisha "can't" na kwa mbumbumbu au mgeni wa lugha hiyo atapata shida kubaini kama ilivyo kwako wewe!

Hilo ni moja, sasa isome kwa ukamilifu uone. Haina hadhi ya kuandikwa na Mheshimiwa.

Mwanzo tu, kaanza na "I hear" inaonesha ni mtu ambae alikuwa anatafsiri Kiswahili "nnasikia". na lugha hizi zina misamiati yake jamani, msitetee kitu ambacho kinampotezea sifa. Hivi mwanao unaempenda nyumbani hata akifanya kosa wewe unamwambia ni sawa tu? kama kweli unampenda inabidi umrekebishe asirudie makosa.

Kumbuka huyu ni Mbunge wa Bunge la Tanzania na akiwa kama Mbunge anakuwa ni mwakilishi wa wananchi wote ni si wa "magwanda' tu na mimi kama Mwananchi nna haki ya kumrekebisha Mbunge wetu kwani anatutia aibu tunaonekana wote kama yeye, wakati sivyo, tungejivuna angeandika ujumbe wake kwa Kiswahili tena ukumbuke huo ujumbe walengwa ni Watanzania, hapa sasa mnanikumbusha mswaada mara ya kwana Bungeni, uliwalenga Watanzania ukaambiwa utafsiriwe ukaletwa Kiswahili, na Mheshimiwa Sugu hapa bado ana nafasi ya kuurekebisha huu usemi wake aliyotumia lugha asiyoijuwa vizuri.
 
Na hivi mpaka hapo bado hujaelewa kuwa teknolijia imetupelekea ku type na kuona tunayo ya "type" katika "screen" zetu na tunaweza tuka "print" tuliyo ya "type" tukiwa popote duniani mradi tuwe na mtandao, kompyuta, na "printer". Usiwe finyu wa kimawazo ukajifunga funga kuwa "typography" inaishia katika kiwanda cha kuchapisha tu, typography ya leo unaweza kuifanya popote ulipo, kuna ma printer siku hizi yana print mpaka kwenye keki na chanzo cha hiyo art yote ya printing kwa sasa ni komputa. Uko wapi wewe, funguka.

maelezo yooote uliyotoa hapo juu ni irrelevant kwa kuwa kamwe hayawezi kubadilisha typographical error kuwa sawa na typing/spelling error! you will always be wrong katika muktadha tunaojadili. Sina shaka na teknolojia uliyoelezea hapo juu na wala sio kitu ninachopinga! najua unataka kunitoa nje ya hoja ya msingi kati yangu mimi na wewe,nitaendelea kukufundisha na kukujuza hadi hapo utakapotambua kuwa "chongo haliwezi kuitwa kengeza"
 
Hilo ni moja, sasa isome kwa ukamilifu uone. Haina hadhi ya kuandikwa na Mheshimiwa.

Mwanzo tu, kaanza na "I hear" inaonesha ni mtu ambae alikuwa anatafsiri Kiswahili "nnasikia". na lugha hizi zina misamiati yake jamani, msitetee kitu ambacho kinampotezea sifa. Hivi mwanao unaemoenda nyumbani hata akifanya kosa wewe unamwambia ni sawa tu? kama kweli unampenda inabidi umrekebishe asirudie makosa.

Kumbuka huyu ni Mbunge wa Bunge la Tanzania na akiwa kama Mbunge anakuwa ni mwakilishi wa wananchi wote ni si wa "magwanda' tu na mimi kama Mwananchi nna haki ya kumrekebisha Mbunge wetu kwani anatutia aibu tunaonekana wote kama yeye, wakati sivyo, tungejivuna angeandika ujumbe wake kwa Kiswahili tena ukumbuke huo ujumbe walengwa ni Watanzania, hapa sasa mnanikumbusha mswaada mara ya kwana Bungeni, uliwalenga Watanzania ukaambiwa utafsiriwe ukaletwa Kiswahili, na Mheshimiwa Sugu hapa bado ana nafasi ya kuurekebisha huu usemi wale aliyotumia lugha asiyoijuwa vizuri.

ili kuondoa malumbano badala ya kuvuvuzela ni bora ungeandika upya alichoandika sugu katika lugha ambayo wewe unadhani ni sahihi!
Halafu kitu kingine ujue kwamba lugha ya kigeni si kigezo cha sifa ya kuwa mbunge hapa TZ, huwezi kukataliwa kugombea ubunge kwa kuwa hujui lugha ya kiingereza! si jambo la ajabu sana kwa mtu anaezungumza lugha ya kigeni kukosea matamshi, lafudhi, grammar na hata spelling. Mfano mzuri uko kwa Maximo aliekuwa kocha wa Taifa Stars, kama ulipata bahati kusikia akiongea alikuwa na grammatical na pronunciation mistakes za wazi kabisa lakini haikuwa aibu kwake kwa kuwa lugha ya kwao ni kireno ILA alikuwa ananifurahisha kwa jinsi alivokuwa anaongea english with confidence hata kama anakosea!
 
maelezo yooote uliyotoa hapo juu ni irrelevant kwa kuwa kamwe hayawezi kubadilisha typographical error kuwa sawa na typing/spelling error! you will always be wrong katika muktadha tunaojadili. Sina shaka na teknolojia uliyoelezea hapo juu na wala sio kitu ninachopinga! najua unataka kunitoa nje ya hoja ya msingi kati yangu mimi na wewe,nitaendelea kukufundisha na kukujuza hadi hapo utakapotambua kuwa "chongo haliwezi kuitwa kengeza"

Hapo ndipo nakuona hata wewe Kiingereza bado hujakomaa. Nakuomba "google" tena upate elimu, kwa kuanzia soma hapa chini halafu fananisha na nilichokueleza mimi ambacho unasema ni "irrelevant" :

A typographical error (often shortened to typo) is a mistake made in, originally, the manual type-setting (typography) of printed material, or more recently, the typing process. The term includes errors due to mechanical failure or slips of the hand or finger,[SUP][1][/SUP] but usually excludes errors of ignorance, such as spelling errors. Before the arrival of printing, the "copyist's mistake" or "scribal error" was the equivalent for manuscripts. Most typos involve simple duplication, omission, transposition, or substitution of a small number of characters

soma zaidi: Typographical error - Wikipedia, the free encyclopedia

Nilikuambia mimi huwa sikisii, wewe hunielewi, lakini napenda kwa kuwa unapata elimu kwa ubishi wako.

Kumbuka yule Mheshimiwa hakufanya "typographical error" hiyo niliifanya mimi, yeye zaidi ya kukosea hata "grammar" kakosea pia "spelling" au kafanya "spelling error" ambayo ni kosa la kuwa "ignorant".
 
Ndio maana hatuendelei

Hivi kiingereza ndio kinatuendeleza?!! tuache uzuzu kama wako na Faiza ili tuendelee...kiingereza cha kujibu mitihani ni tofauti na hiki tatizo mmekaa kichama zaidi
 
Hao Mbunge kama una ushahidi nipe hiyo case naimaliza dakika 5.....
 
Back
Top Bottom