Nani wa kumuoa huyu?
Mtu anashinda jf mda wote unafikiri anamuda hata wa kusafisha injini yake?
Mchafu kuoga huyu.
Hivi bado mpo zile enzi za kutoangalia mtu anajua nini, mnaangalia anajua kiingereza kiasi gani? Nchi yenu bado sana. Yaani jaribu kupitia Japan, China, Germany, France na Nchi nyingi za kiarabu, kiingereza hata sio lugha yao ya pili, wanaongea kueleweka, km huelewi uje na mkalimani wako...haiwahusu
Mzee mwenzangu matusi hayo. Mmeacha hoja ya msingi, mmebakiza matusi tu! Kuna msemo wa hekima usemao, amtukanaye mwenzie kajitukana mwenyewe.ukikeketwa lazima uwe punguani kwenye ubongo . Pole.
anajipigia promo tu ....Uoga huo.
Hilo wala hujakosea, kaeleweka tena vizuri sana na kwa ufasaha mkubwa kabisa.
Bungeni ushamsikia anvyo mwanga vina> huwa ananifurahisha sana nikimsikia, hususan anaposoma hotuba.
No. I never hate anyone, I like Mr. Sugu indeed, my criticism is highly progressive and should be commended, I wouldn't like to see Mr. Sugu repeating the same mistakes again. Still wondering if he is the one who wrote that, Its incomprehensible.
‎...i hear some corrupted employees r helping some people to hack my phone...beware phone company,coz im gonna sue u with a foreign lawyer whom u cant corrupt...im serious!!! - joseph mbilinyi "mp"
Sheikh Mohamed Said katika darsa zake anasema ukiona mtu anaanza kutukana ujuwe umemshinda kwa hoja.
Hoja yangu inabaki palepale, Mheshimiwa angetumia Kiswahili kufikisha ujumbe wake, Kiingereza hakijui kukiandika ipasavyo. Kama ni yeye aliyeandika, mpaka sasa nashindwa kukubali.
Hiyo kijana ni typing mistake
typing mistake =typing error
looks like u got very long way to go,besides i really like ur name FaizaFoxy,it's a nice name to me.
Kikwete anakijuwa Kiingereza huwezi kumkuta hata siku moja kaandika kama huyu mbunge wa magwanda. Au kamsome January, japo na yeye bado kwa kiasi fulani lakini ni bora kwa Kiingereza kuliko huyu kijana, halafu kuongea Kiingereza sio kuandika Kiingereza ni vitu viwili tofauti, kuna hata Waingereza chungu nzima ndio lugha yao mama lakini hawajui kukiandika. Fikiri.
we kichwa chako ni kibovu hakuna siku umeongea point , una akiri mbovu kama za nape . we kweli nguluweHapana si hivyo kijana, kama huijuwi lugha ya watu wa heshima bora usiandike, yule ni Mheshimiwa, na katika Kiingereza kuna lugha ya heshima.
kwa kiingereza fasaha unapotumia neno REPEAT hutakiwi kuweka neno AGAIN, lakini haikuzuii wewe kuandika jambo kwa kiingereza kwa kiasi unachojua wewe kama ambavyo ilivyo kwa wengine! they say practice makes perfect! but anyway, do not worry, it's a common mistake.
ulifunga NDOWA na nani!?
we kichwa chako ni kibovu hakuna siku umeongea point , una akiri mbovu kama za nape . we kweli nguluwe
Labda nikusaidie Bibiye kwa kusema amekosea lugha nafikiri hata kiswahili angekosea usingesema hivi. Mfano watu kusema hakunaga n.k Hapo umeonesha una element za utumwa tuuKikwete anakijuwa Kiingereza huwezi kumkuta hata siku moja kaandika kama huyu mbunge wa magwanda. Au kamsome January, japo na yeye bado kwa kiasi fulani lakini ni bora kwa Kiingereza kuliko huyu kijana, halafu kuongea Kiingereza sio kuandika Kiingereza ni vitu viwili tofauti, kuna hata Waingereza chungu nzima ndio lugha yao mama lakini hawajui kukiandika. Fikiri.