Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

duh kazi ipo.leo mmepaniana kwelikweli..... FF kama jeshi la mtu mmoja vile. duh mumemtusi mpaka noma. pia nayeye mbishi duh, teh teh teh teh teh.ngoja namimi nibwabwaje kidhungu kidogo.... guys, let this thread become the first in terms of being visited and drawing attention of many members....teh teh teh teh..... khah, kumbe kingereza kawaaaiiiiiida
 

Yote sawa, hujuwi.
 

Mtumwa wa lugha ni yule anaeshobokee lugha asiyoijuwa vizuri. Ningemuona wa maana sana angeandika Kiswahili, au nacho hakijuwi?

Hayo unayosema wewe hiyo ndio point yangu, Unanchekesha. Hivi huoni ni nani aliye "ishobokea" lugha ya watu asiyoielewa vizuri?

Nikiandika Kiingereza nna uhakika nacho. Sikisii.
 

je ulishawahi ishi Marekani kama Sugu!?
 
je ulishawahi ishi Marekani kama Sugu!?

Nadhani unamskia tu FF, humjuwi. Kuishi USA hakumaanishi kujuwa kuandika Kiingereza, kuna wengi sana USA hawajuwi hata kukiongea, labda ndiyo sababu hiyo?
 
nadhani unamskia tu ff, humjuwi. Kuishi usa hakumaanishi kujuwa kuandika kiingereza, kuna wengi sana usa hawajuwi hata kukiongea, labda ndiyo sababu hiyo?

faiza foxy nimekuuliza una mtoto wa kike mkubwa nataka uniozeshe au una mdogo wa kike??
 


kikwete na sugu!!kikwete kiingereza chake cha kuunganisha unganisha!!!kifupi hajui!!!msikilize popote utagundua!!afadhali ya sugu na kiingerezacha marekani!!
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.


Mi naona afadhali hiki kiingeleza cha mpiganaji sugu (CHADEMA) kuliko yuleeeeeeeeeeeeeeeeeee nani tena wa Tanga sijui nani tena alikuwa mganga wa kienyeji, sijui nani eheeeeehh Pr. Maji Marefu (CHA MAGAMBA). Na nadhani sugu angekuwa Cha magamba sidhani kama unge- comment. Na Washawasha style (log off).
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.


sijaona mwanamke mtumwa wa kifikra kama FaizaFoxy....sio mara ya kwanza....nikutajie list ya watu wenye P zao wasio jua lugha
yeyote ya nje ya kwao????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…