Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

Sawa bibi, ila huwa napata shida kila ninapoitazama picha hii
View attachment 42146

Eeeh! Mr. President...eh! Me big people in my country!...I sit thereeeee...many water in front!...I climb on air many many times to come to America!...Even Kibaki & Raila know me...Come I give many many many mines until you enough!
 

Kwaaaakwakakwaaaaa, nakusikitia sana kwa kwenda kupekuwa ni dikshenari uchwa, bado hujajuwa, lakini hivyo ndivyo inavyo takiwa ubukuwe na uwe makini.
 
anyway please tuandikie the same story aliyoiandika sugu in correct english language ....plllllllllllllllllz tuone kama na wewe unaweza??

Unanjaribu, mie sikisii. Unanchekesha!
 
inatosha sasa tujadili kama kichwa cha habari kinavyosema
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.

Wewe unaekijua uko wapi saizi na unafanya nini?? Acha dharau wewe...njaa tu inakusumbua!!
 
Kwani ukiwa mbunge maana yake unawawakilisha wananchi wako kwenye Debate ya ENGLISH CLUB?

Ukiwa mbunge unapata hadhi ya Uheshimiwa na ukiwa Mheshimiwa unatakiwa ujumbe unaoutowa siku zote uwe wa heshima na unafanana na hadhi yako, si huu ulioletwa hapa mpaka sasa nashindwa kuamini kama hii kitu kaandika Mheshimiwa Sugu, Mbunge wa Jiji la Mbeya.
 
nimegundua kitu huyu FF na REJAO SIJUI REJEA wamelipwa na maadui wa sugun ili waipindishe maada sasa tumeshtukia so plz guys TUJADILINI MAADA HUSIKA
@FF , NA REJEA SIJUI REJAO
 
Wewe unaekijua uko wapi saizi na unafanya nini?? Acha dharau wewe...njaa tu inakusumbua!!

Kumweka mtu sawa si dharau ni kumpenda, kumdanganya mtu kuwa anafanya sawa wakati hafanyi sawa ni kumdharau.

Mimi sasa hivi nipo nyumbani kwangu, nawapa darsa watu kama wewe kupitia humu JF.
 

hacha upuzi wewe mwanamke sijui hata kwann ban yako walikufungulia maana unajaza upuzi 2'humu huna kaz ya kufanya???
 
nimegundua kitu huyu FF na REJAO SIJUI REJEA wamelipwa na maadui wa sugun ili waipindishe maada sasa tumeshtukia so plz guys TUJADILINI MAADA HUSIKA
@FF , NA REJEA SIJUI REJAO

maada = mada

Hiyo ya "sugun" natambuwa kuwa ni typographical error kwa hiyo sikusahihishi. Unafanya vyema.
 
inatosha sasa tujadili kama kichwa cha habari kinavyosema

Kuhusu mada iliyopo, kwanza kabisa ujuwe kuwa Serikali ina mitambo ya kiusalama ya kuweza kuingia, kurekodi na kutazama kumbukumbu zote zinazopitia kwenye simu ya mtu yoyote kuhusu mambo yanayohusiana na usalama. Ukiwa kwenye nyadhifa hizi kama za huyu Mheshimiwa Sugu hilo ni jambo dogo sana.

Kuna wakati hapahapa JF yaliletwa majadiliano ya sms ya Mheshimiwa Zitto na wengineo, kwa Mheshimiwa Sugu ni mambo ya "hear"say tu na hayana uzito wowote angekuwa na ushahidi kamili, hapo lingejadilika. Na lugha alyoitumia kusambaza huo ujumbe wake ni ya kusikitisha kutoka kwa Mheshimiwa Sugu kama ni kweli ndiyo yeye aliyeandika huo ujumbe, mpaka sasa nashindwa kukubali.
 
Jamani,HEADING MMEIACHA
KIINGEREZA C MJADALA HUSIKA,ISSUE NI HACKING,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…