Sawa bibi, ila huwa napata shida kila ninapoitazama picha hii
View attachment 42146
Ona sasa kujitia KUJUA sana,hapo kwenye red umechapia bi.mkubwa! ingekuwa sahihi ungeandika typing error, ukiremba sana lugha za watu kwa misamiati usiyokuwa na uhakika nayo lazima utaboronga! According to my dictionary:
TYPOGRAPHY means (i) the work of preparing written material for printing.
(ii) the arrangement,style, and appearance of printed words.
TYPE means to write something using a computer or a typewriter.
Choose yourself which is correct!
Halafu dada yangu kubali kusahihishwa pindi unapokuwa umekosea ubishi hautakusaidia! tafuta kamusi ya kiswahili utafute neno jua ili upate maana zake halafu tafuta neno juwa kama utaliona nalo upate maana yake/zake, kama kujua wewe unaandika na kutamka kujuwa basi sina budi kuamini wewe ni wa MBWINYU na si mswahili wa kariakoo kama unavojitanabaisha!
anyway please tuandikie the same story aliyoiandika sugu in correct english language ....plllllllllllllllllz tuone kama na wewe unaweza??
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.
Kwani ukiwa mbunge maana yake unawawakilisha wananchi wako kwenye Debate ya ENGLISH CLUB?
na ole wao wamdhulu sugu au kinega yoyote nguvu ya uma itawashukia mafisadi hawa kwanini wanatumia nguvu kumzima sugu there is something behind
Wewe unaekijua uko wapi saizi na unafanya nini?? Acha dharau wewe...njaa tu inakusumbua!!
Ukiwa mbunge unapata hadhi ya Uheshimiwa na ukiwa Mheshimiwa unatakiwa ujumbe unaoutowa siku zote uwe wa heshima na unafanana na hadhi yako, si huu ulioletwa hapa mpaka sasa nashindwa kuamini kama hii kitu kaandika Mheshimiwa Sugu, Mbunge wa Jiji la Mbeya.
nimegundua kitu huyu FF na REJAO SIJUI REJEA wamelipwa na maadui wa sugun ili waipindishe maada sasa tumeshtukia so plz guys TUJADILINI MAADA HUSIKA
@FF , NA REJEA SIJUI REJAO
hacha upuzi wewe mwanamke sijui hata kwann ban yako walikufungulia maana unajaza upuzi 2'humu huna kaz ya kufanya???
inatosha sasa tujadili kama kichwa cha habari kinavyosema
Yaaani Huyu FF... wa Shift hii...
hacha = acha