curie
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 699
- 1,600
Nipenyezewa taarifa kutoka insiders wa kampuni ya Adidas kuwa, wako wanandaa dili ya merchandise kwa klabu ya Simba baada ya kuona watapata milliage kubwa barani Afrika.
Hi imekuja baada ya Simba Queens na Simba Sports Club kufika mbali kwenye mashindano ya CAF na kuwa fanbase wengi kwa sasa.
Pia kilichoivutia sana sana ni social media za simba kuwa na jam muda wote
Stay tuned ni mkataba mzito kwa kweli
Hi imekuja baada ya Simba Queens na Simba Sports Club kufika mbali kwenye mashindano ya CAF na kuwa fanbase wengi kwa sasa.
Pia kilichoivutia sana sana ni social media za simba kuwa na jam muda wote
Stay tuned ni mkataba mzito kwa kweli