Tetesi: Kampuni ya Adidas wanaandaa dili ya bidhaa kwa Klabu ya Simba

Tetesi: Kampuni ya Adidas wanaandaa dili ya bidhaa kwa Klabu ya Simba

curie

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2020
Posts
699
Reaction score
1,600
Nipenyezewa taarifa kutoka insiders wa kampuni ya Adidas kuwa, wako wanandaa dili ya merchandise kwa klabu ya Simba baada ya kuona watapata milliage kubwa barani Afrika.

Hi imekuja baada ya Simba Queens na Simba Sports Club kufika mbali kwenye mashindano ya CAF na kuwa fanbase wengi kwa sasa.

Pia kilichoivutia sana sana ni social media za simba kuwa na jam muda wote

Stay tuned ni mkataba mzito kwa kweli
 
ADIDAS hawezi kusaini deal na mbuzi Hawa, hawana branding nzuri,mhindi pori kahodhi kila kitu anazuia wengine kuelekeza Simba.

Hata ukilingsnisha mikataba ya makampuni na mapato ,Young Africa anaingiza pesa mingi kuliko manyonyo
 
ADIDAS hawezi kusaini deal na mbuzi Hawa, hawana branding nzuri,mhindi pori kahodhi kila kitu anazuia wengine kuelekeza Simba
Hata ukilingsnisha mikataba ya makampuni na mapato ,Young Africa anaingiza pesa mingi kuliko manyonyo
Kuna sehem niliko taja yanga mzee baba
Unajua TOR wanazotumia makampuni kusain deal au wivu umekujaa tuu
 
ADIDAS hawezi kusaini deal na mbuzi Hawa, hawana branding nzuri,mhindi pori kahodhi kila kitu anazuia wengine kuelekeza Simba
Hata ukilingsnisha mikataba ya makampuni na mapato ,Young Africa anaingiza pesa mingi kuliko manyonyo
Huu wivu wa kike utakuua.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
ADIDAS hawezi kusaini deal na mbuzi Hawa, hawana branding nzuri,mhindi pori kahodhi kila kitu anazuia wengine kuelekeza Simba
Hata ukilingsnisha mikataba ya makampuni na mapato ,Young Africa anaingiza pesa mingi kuliko manyonyo
Kama mliliki wa twita ,vumilieni ujuavyo panya wengi
 
Back
Top Bottom