Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
bila shaka mkataba wake ulikuwa ni wa misimu miwili na msimu huu ni wa mwisho.Vunjabei ndio baibai ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bila shaka mkataba wake ulikuwa ni wa misimu miwili na msimu huu ni wa mwisho.Vunjabei ndio baibai ama
kwa hiyo UMBRO wakaishia kudhamini NDONDO CUP?Hao sio adidas bali ni wa Tz wenzetu wajanja janja wana tumia fursa maana hata ktk tender iliyo pita umbro South africa waliweka bid ila za chini chini zina dai kuna mwandiahi mmoja wa soka maarufu ndio aliingia deal na umbro waombe bid bahati mbaya wakakosa
Let see hii kama ita tiki
Kabisa kaka, mie mo pale simba haniibii sh 10, kwani nimeweka sh ngapi? Mshabiki yake furaha tu, akivurunda ndio mtiti unapoanzia.Mie toka mwanzo nilishakubali mo apewe kabisa hii timu ila mi anizingatie kunipa furaha tu....
Hapo ndipo tunadanganyana ukubwa wa simba unatokana na mafanikio yapi?Yaani Simba imekua ni brand kubwa sana kwa sasa,kila mtu anatamani kufanya nao kazi!
Nipenyezewa taarifa kutoka insiders wa kampuni ya Adidas kuwa, wako wanandaa dili ya merchandise kwa klabu ya Simba baada ya kuona watapata milliage kubwa barani Afrika.
Hi imekuja baada ya Simba Queens na Simba Sports Club kufika mbali kwenye mashindano ya CAF na kuwa fanbase wengi kwa sasa.
Pia kilichoivutia sana sana ni social media za simba kuwa na jam muda wote
Stay tuned ni mkataba mzito kwa kweli
Uto simu mkikubali simba kubwa na nyinyi mtafanikiwaHapo ndipo tunadanganyana ukubwa wa simba unatokana na mafanikio yapi?
Dada mbona kama unanyonya sperm nimekuuliza ukubwa wa simba upo wapi?Uto simu mkikubali simba kubwa na nyinyi mtafanikiwa
Yaani....!Yaani Simba imekua ni brand kubwa sana kwa sasa,kila mtu anatamani kufanya nao kazi!
Umekula lakn ?Ndugu zangu mbumbumbu fc wanazungumzia Adidas ya Vigwaza baada ya kupita Mlandizi. Adidas hii inamilikiwa na Mbumbumbu fc mwenzao Anaitwa Kasim Dewji.
Mjerumani Halisi hawezi kuitumia logo ya Adidas Kwa timu inayo pigwa fine za kichawi katika soka la Africa.
Ukila wewe inatosha.Umekula lakn ?
Utopolo watanuna hiliYaani Simba imekua ni brand kubwa sana kwa sasa,kila mtu anatamani kufanya nao kazi!
Sitashangaa ikitokea, kwakweli najivunia kuwa shabiki wa chama kubwa africa [emoji881][emoji881]
Tukae mkao wa kula
Nilikuwa najiuliza kwanini wanachanjwa wao tu.Miho f.c wameingia mkataba na Corona ukichanjwa unatazama mechi bure uwanjani.