Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Sasa itakuaje kwa mihogo fc..naskia wait zion college wataingia nao mkataba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wengine wakapange 4len mkuranga na tanga kwenye mashamba ya mihogo aka fogoNipenyezewa info kutoka insiders wa kampuni ya adidas kuwa wako wanandaa dili ya merchandise kwa klabu ya simba baada ya kuona wata pata milliage kubwa barani africa.
Hi imekuja baada ya Simba queen na simba sports club kufika mbali kwenye mashindano ya caf na kuwa fanbase wengi kwa sasa.
Pia kilicho ivutia sana sana ni social media za simba kuwa na jammed muda wote
Stay tuned ni mkataba mzito kwa kweli
Kibweko kikali sana kutoka kwa mbwa kokoADIDAS hawezi kusaini deal na mbuzi Hawa, hawana branding nzuri,mhindi pori kahodhi kila kitu anazuia wengine kuelekeza Simba
Hata ukilingsnisha mikataba ya makampuni na mapato ,Young Africa anaingiza pesa mingi kuliko manyonyo
Kungwi wa kike tulia kama vile unanyolewa.
Utaroga vipi kitu ambacho hakipo? Kwa nini mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?Yanga wataloga na hilo dili litakufa, me nakuhakikishia
Hahah zaaa ndaaaniii kabisa afu zikufikie wewe kutoka Adidas? thats a jokeNipenyezewa info kutoka insiders wa kampuni ya adidas kuwa wako wanandaa dili ya merchandise kwa klabu ya simba baada ya kuona wata pata milliage kubwa barani africa.
Hi imekuja baada ya Simba queen na simba sports club kufika mbali kwenye mashindano ya caf na kuwa fanbase wengi kwa sasa.
Pia kilicho ivutia sana sana ni social media za simba kuwa na jammed muda wote
Stay tuned ni mkataba mzito kwa kweli
Yanga wana nguvu ya kichawi mkuu, amini usiamini ngoja hizi habari ziwafikie vizuri utaniambiaUtaroga vipi kitu ambacho hakipo? Kwa nini mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?
Na sisi mihogo itakuwaje sasaNipenyezewa info kutoka insiders wa kampuni ya adidas kuwa wako wanandaa dili ya merchandise kwa klabu ya simba baada ya kuona wata pata milliage kubwa barani africa.
Hi imekuja baada ya Simba queen na simba sports club kufika mbali kwenye mashindano ya caf na kuwa fanbase wengi kwa sasa.
Pia kilicho ivutia sana sana ni social media za simba kuwa na jammed muda wote
Stay tuned ni mkataba mzito kwa kweli
Mie toka mwanzo nilishakubali mo apewe kabisa hii timu ila mi anizingatie kunipa furaha tu....Kama ni kweli mo anatabasamu tu. Jamaa kacheza kama pele, kawekeza, thamani imepanda.
Abbas Tarimba aliendekeze mahaba na kusahau kuhusu kazi leo Spotipesa wamekuwa wa hapa hapa.Mbet kabahatika aisee imagne anavyotanganzwa kila kona nje kwenye uzi wa simba