Tetesi: Kampuni ya Adidas wanaandaa dili ya bidhaa kwa Klabu ya Simba

Wale wengine wakapange 4len mkuranga na tanga kwenye mashamba ya mihogo aka fogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ADIDAS hawezi kusaini deal na mbuzi Hawa, hawana branding nzuri,mhindi pori kahodhi kila kitu anazuia wengine kuelekeza Simba
Hata ukilingsnisha mikataba ya makampuni na mapato ,Young Africa anaingiza pesa mingi kuliko manyonyo
Kibweko kikali sana kutoka kwa mbwa koko
 
Hahah zaaa ndaaaniii kabisa afu zikufikie wewe kutoka Adidas? thats a joke
 
Na sisi mihogo itakuwaje sasa
 
Tuwe wakweli tu. Hilo halipo na halitakuwepo kwa sasa kutokana na hali ya nchi yetu.
Adidas mara nyingi jersey zao bei kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…