Kuna jibu Putin aliwapa nyie wakenya kila nikilikumbuka nacheka sana. Hope na wewe walijuaPutin anaendelea kupata mapigo kote, na Warusi wengi ukiingia kwenye mitandao yao wamenza kumchukia na sio muda mrefu watamgeuka hali ikizidi kuwa ngumu.
Dunia iendelee kumpa vikwazo vya kila aina. Pakistan alishasema hatomlipa madeni yake, asusiwe na wote....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba mtaishia kufanya nini vile?