Kampuni ya Apple kutouza bidhaa zake Urusi

Kuna jibu Putin aliwapa nyie wakenya kila nikilikumbuka nacheka sana. Hope na wewe walijua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba mtaishia kufanya nini vile?
 
Hahaha sasa mbona kama Pakistan katafuta upenyo wa kutolipa madeni?
Pakistan alipe deni lake, huo ni ujanja wa kukwepa deni. Kwani vita ya Urusi na Ukraine inahusiana vp na deni analodaiwa?
 
Watu wanaunda missile za kutoka bara hadi bara watashindwa kutengeneza simu,by the way katika hilo Apple ndio wana lose sio Russia.
Hao wanastahili kipigo. Eti wanampigania Allah. Wanadai ni muweza wa kila kitu lakini hajui kupigana mpaka wanampigania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siyo kwa putin deni halikimbiwi kwa 7bu za uchochoroni labda kama hadaiwi na Russia ninayoijua mimi
 
Siyo kwa putin deni halikimbiwi kwa 7bu za uchochoroni labda kama hadaiwi na Russia ninayoijua mimi

Putin kwa sasa hawezi kudirki kuanzisha ugomvi na taifa lingne kubwa kama Pakistan maana mwenyewe yupo kwenye hatari, anatafuta pakutokea, Kiev imeshindikana, Urusi inavurugika kiuchumi, Warusi walio nje na ndani wameanza kuteseka na kumlaumu, muda usio mrefu wataasi.
 
unadhani kuunda teknolojia mbadala ni kama kuchonga kipago cha manati ya kuwindia ndege eti..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…