Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajauziwa bali kaambiwa kama anaweza kununua treni zake naye aingize njiani. Si yeye tu hata wewe ukiweza.Inasemekana na treni ya mwendokasi yetu ameuziwa na mama yetu muuzaji wa Mali za Tanganyika.Hii awamu azam ananeemeka sana
Hii post yako itunze alafu muda ukifika utaamini ukweli.Hii habari sio kweli banaa!!!
Hayo ni mabus yameingia manne Tu Kwaajili ya usafiri wa timu ya Azam pamoja na wageni mbalimbali kutoka nje ya nchi..
Tuache kupost habari za kwenye kahawa
Azam aingie na TANESCO hata apewe wizara ya TAMISEMI.Aingie na Treni na Mwendokasi ufanisi utakua
Za Azam tv hizo boss kwa ajili ya matangazo , anaongezaKumekucha. Ni neno pekee utakaloweza kulitumia kwa sasa. Yule mfalme wa biashara zote, Said salim Bakhresa anaingia barabarani rasmi muda sio mrefu.
Anaanza na Dar hadi Arusha, Dar hadi Dodoma na Kigoma hadi Bukoba. Baadae atajitanua taratibu nchi nzima.
Source: Mnyetishaji ndani ya kampuni.
View attachment 3197576
Anapotosha watu bila hata ya kuwa na data yakinifuHaya mabus ni kwa ajiki ya azam tv. Unaleta habari za udaku humu?
Mwambie aliyekwambia aache uongo. Nenda page ya azam tv huko Facebook na baadhi social networks utaona. Hizo ni kwaajili ya broadcasting ndugu. Gari nzima hiyo ina seat kama 6 hivi.Kumekucha. Ni neno pekee utakaloweza kulitumia kwa sasa. Yule mfalme wa biashara zote, Said salim Bakhresa anaingia barabarani rasmi muda sio mrefu.
Anaanza na Dar hadi Arusha, Dar hadi Dodoma na Kigoma hadi Bukoba. Baadae atajitanua taratibu nchi nzima.
Source: Mnyetishaji ndani ya kampuni.
View attachment 3197576
Uwe na hakika na unachosema hayo ni magar ya kubeba wafanya kazi huoni yamechakaa Kawaida kabsa???Kumekucha. Ni neno pekee utakaloweza kulitumia kwa sasa. Yule mfalme wa biashara zote, Said salim Bakhresa anaingia barabarani rasmi muda sio mrefu.
Anaanza na Dar hadi Arusha, Dar hadi Dodoma na Kigoma hadi Bukoba. Baadae atajitanua taratibu nchi nzima.
Source: Mnyetishaji ndani ya kampuni.
View attachment 3197576
Kumekucha. Ni neno pekee utakaloweza kulitumia kwa sasa. Yule mfalme wa biashara zote, Said salim Bakhresa anaingia barabarani rasmi muda sio mrefu.
Anaanza na Dar hadi Arusha, Dar hadi Dodoma na Kigoma hadi Bukoba. Baadae atajitanua taratibu nchi nzima.
Source: Mnyetishaji ndani ya kampuni.
View attachment 3197576
hao wenyewe wanamfikia mzee bakhresa kwa pesa ? Kama ameweza kuliteka soko la majini atashindwa la now nchi kavuAtaweza fitna? manake nasikia hiyo biashara ina wenyewe.
Kwanini walimuomba?Mabasi ya kurusha matangazo hayo bana bahress aliwahi kuwa na wazo ilo ila chama cha wamiliki wa mabasi walimuomba aachane na Mpango huo akakubali kuachana nao.
Kwa trust ni mipango aliyo nayo azam co. Akiweka basi barabarani wengine watakuwa wanasubiri basi zake zijae kwanza ndio nao wapakiehao wenyewe wanamfikia mzee bakhresa kwa pesa ? Kama ameweza kuliteka soko la majini atashindwa la now nchi kavu