Tetesi: Kampuni ya Azam kuanza usafirishaji wa Abiria kwa njia ya Mabasi hivi karibuni

Tetesi: Kampuni ya Azam kuanza usafirishaji wa Abiria kwa njia ya Mabasi hivi karibuni

Kumekucha. Ni neno pekee utakaloweza kulitumia kwa sasa. Yule mfalme wa biashara zote, Said salim Bakhresa anaingia barabarani rasmi muda sio mrefu.

Anaanza na Dar hadi Arusha, Dar hadi Dodoma na Kigoma hadi Bukoba. Baadae atajitanua taratibu nchi nzima.

Source: Mnyetishaji ndani ya kampuni.

View attachment 3197576
Morogoro vipi
 
IMG-20250111-WA0000.jpg
 
Kama ni kweli aanzie mjini na mwendokasi huko mikoani awaachie wakina kimbinyiko bana.
 
Ila bakhressa anashangaza sana kufanya biashara kuanzia hela ndogo, shilingi hamsini na shilingi mia moja
 
Sasa huyu Azam ana sifa.
Sasa sisi akina Kwalimboa Safaris tutaweza kushindana nae kweli?
 
kwa nionavyo mimi sio kweli Azam is a big fish in business ,zipo fursa nyingi tz akiingiza kibunda anapiga mpunga mwingi kuliko hizo za usafirishaji ambazo zinaushindani mkubwa sana.
 
Vipi kuhusu media, ana tv channels nyingi tu, ana redio moja UFM, mbona hana magazeti au kiwanda cha uchapaji?
 
Back
Top Bottom