Morogoro vipiKumekucha. Ni neno pekee utakaloweza kulitumia kwa sasa. Yule mfalme wa biashara zote, Said salim Bakhresa anaingia barabarani rasmi muda sio mrefu.
Anaanza na Dar hadi Arusha, Dar hadi Dodoma na Kigoma hadi Bukoba. Baadae atajitanua taratibu nchi nzima.
Source: Mnyetishaji ndani ya kampuni.
View attachment 3197576
Atafika na usafiri wa anga, AZAM AIR
Dar hadi Dodoma. Morgoro unashuka njianiMorogoro vipi
Abood toka mwaka 1980 yupo na wengi wamekuja na wamefutika na wengine wapo wla hashtuki..kina abood, shabiby, bm roho zitakuwa mkononi...
Kuna AZAM Aviation walishaanza na mpango wa muda mrefu ni kuja na ndege kubwa kwa safari za ndani na nje.Atafika na usafiri wa anga, AZAM AIR
Yamepaki stendi ya Magufuli tayari kwa kurusha matangazo.
Hayo mabasi ni kwaajili ya CHANHii post yako itunze alafu muda ukifika utaamini ukweli.
Hapo sio stand ya maguYamepaki stendi ya Magufuli tayari kwa kurusha matangazo.
Business geniusIla bakhressa anashangaza sana kufanya biashara kuanzia hela ndogo, shilingi hamsini na shilingi mia moja
SijuiVipi kuhusu media, ana tv channels nyingi tu, ana redio moja UFM, mbona hana magazeti au kiwanda cha uchapaji?