Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
- Thread starter
- #41
Tvs 125 nyepesi sana kwa long journey kama hiyo ni very risk aiseeLabda tvs isio na matunzo. Nimetembea dar to kilimanjaro na tvs 125 na hakukua na tatizo lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tvs 125 nyepesi sana kwa long journey kama hiyo ni very risk aiseeLabda tvs isio na matunzo. Nimetembea dar to kilimanjaro na tvs 125 na hakukua na tatizo lolote
Last time kuwa na boxer ni lini mkuu mbona jamaa wanafanya improvement.Tatizo kubwa la pikipiki za boxer ni( ring piston na block )
Hata uzingatie kubadilisha oil kila baada wiki mbili au baada km 1000 kuna siku itazingua tu.
Dar, Moshi, Arusha, Iringa,DodomaBoxer ni bike za dar mikoani tvs ndo mwamba angalau kidogo Haujio
Hilo halipingiki maana engine ndio kila kitu kwenye bike na tvs wanaengine ngumuTVs bado anawakimbiza
Hilo likowazi mafundi sio wengi maana asilimia kubwa kuanzia kibaha kwendea huko mikoani bike pendwa ni zile za kichina kwahiyo mafundi wengi hawazijulii na hawana uzoefu nazoHalafu shida hizi boxer mafundi wanabahatisha bahatisha tuu, walau serikali imezigawa kwa watendaji na maafisa ugani sasa hata ndani ndani huku tunapata spare
Mfuko wako mkuu dealers ukiwagiza mbona wanakuleteaMi nawasubiria TVS wajibu mapigo. Tatizo wamewekeza sana kwenye izo za bodaboda.
Kuna pikipiki ya TVS inaitwa TVS Apache RR 310. Aisee shikamoo.
View attachment 2717918
Kwa Tanzani naenda wapi? Maana niliona zile Apache 160 na 180 sikuzipenda.Mfuko wako mkuu dealers ukiwagiza mbona wanakuletea
Kwani umeskia napaa mm. Ukiwa dereva popote unakwenda watu wanatoka mwanza kwa baiskeli ije kuwa chombo chenye Over 100kgTvs 125 nyepesi sana kwa long journey kama hiyo ni very risk aisee
Kwa hapa Dar sijajua hasa nani ni importer na dealer mkubwa wa TVS.Kwa Tanzani naenda wapi? Maana niliona zile Apache 160 na 180 sikuzipenda.
Mkuu soma vizuri comment yanguUvimbe na pikipiki duh
Dealers wa Tvs wapo pale Azikiwe karibu na Posta office wanaitwa Car& General traders wahindi hawa na wanashow room hapohapo kuna brand kadhaa za pikipiki ila hayo ma Apache sijaona.Kwa Tanzani naenda wapi? Maana niliona zile Apache 160 na 180 sikuzipenda.
Hata ya baiskeli hanaMkuu bike jero zote za nini
Kama hukuipenda tvs apache hujui pikipikiKwa Tanzani naenda wapi? Maana niliona zile Apache 160 na 180 sikuzipenda.