Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
- Thread starter
-
- #61
Daah...! Wewe jamaa hauko seriously na lifeWadau mimi nimetoka kujifunza pikipiki juzi nataka ninunue mpya niwe bodaboda.
Naomba ushauri wenu ninunue chombo ipi kati ya TVS au BoXer
Unavimba na gari za madem zetu😂😂Mkuu soma vizuri comment yangu
Navuta Toyota blade na hero hunter 150x off-road zote Kwa mpigo, kwanini nisivimbe na kipato changu nakijua mwenyewe
Upo mkoa gani?Wadau mimi nimetoka kujifunza pikipiki juzi nataka ninunue mpya niwe bodaboda.
Naomba ushauri wenu ninunue chombo ipi kati ya TVS au BoXer
Masaa mangapi ulitumia?Labda tvs isio na matunzo. Nimetembea dar to kilimanjaro na tvs 125 na hakukua na tatizo lolote
Kuna watu wana pikipiki za boxer mwaka wa 6 sasa na wanapiga boda bodaTatizo kubwa la pikipiki za boxer ni( ring piston na block )
Hata uzingatie kubadilisha oil kila baada wiki mbili au baada km 1000 kuna siku itazingua tu.
Zipo zaidi ya miaka sita lakini changamoto yake ni hiyo ya juu( block)Kuna watu wana pikipiki za boxer mwaka wa 6 sasa na wanapiga boda boda
Bila shaka ameelewa!Kwani shida Iko wapi kiongozi? Kila mtu anavimba Kwa kadri ya uwezo wake.
Na hata pulling,tvs ukiwa namba tano ukitembea 20kph inalalamika kuzima ila boxer unatembea bila malalamiko
Kuna jamaa angu ana 125cc Yani ukipanda unaona kabisa haina nguvu seat yake sijui ikoje hata,, ukipanda sinoray 180 upo juu juu inavuta Kama lamboLast time kuwa na boxer ni lini mkuu mbona jamaa wanafanya improvement.
Mathalani zile rough road hasa X125 zile bike zina block mbovu sijapata kuona.
Baada ya kuwasema kwenye pages zao wakafanya improvements kwa kuleta toleo jipya almaarufu kijora hizi zenye block na cylinder rangi nyeusi.
And now ndio wamekuja na hili toleo jipya la kijora ambacho hakina paper oil filter hebu tuone zitakuaje.
TVs hawajawekeza kwenye boda boda hizo Apache India huko zinauza tuMi nawasubiria TVS wajibu mapigo. Tatizo wamewekeza sana kwenye izo za bodaboda.
Kuna pikipiki ya TVS inaitwa TVS Apache RR 310. Aisee shikamoo.
View attachment 2717918
Sema zinskunywa mafuta hizoKwa Sasa sijaona piki piki kwenye kundi Hilo yenye nguvu ,speed, carrying capacity Kama sinoray A.K.A Sina roho
Ukija kwenye hizi 180cc zao ndo balaa zaidi
Honda ziko pw naona hata bei zao ziko rafiki ila hazijakaa kibodabodaHonda kashamaliza mchezo wao ndio wanaamka
una uhakika zimekufa? au fundi kasema tuuBoxer yangu ndani ya miezi miwili nimebadili bearing za shingo ya steling, mara mbili sijui shida ni nini inaua bearing kiasi hiko
Tafuta bima ya afya kwanza,halafu ndiyo ununue pikipiki uwe bodaboda.Wadau mimi nimetoka kujifunza pikipiki juzi nataka ninunue mpya niwe bodaboda.
Naomba ushauri wenu ninunue chombo ipi kati ya TVS au BoXer
Ngoja nikajaribu kuikaza, inakera sana inavogonga,una uhakika zimekufa? au fundi kasema tuu
mimi naendesha boxer mwaka wa nne huu tena ni kwenye rough road na haijawahi badilishwa hizo bearing...kinachotokea ni kwamba stealing ikiwa loose inagonga unaweza sema ni bearing kumbe ni kuikaza tu
Umeambiwa hazina oil filter hili toleo ni jipya oil filter haipo.Upo vizuri kamanda, ngoja nikaifanyie service bike yangu air cleaner maana kitambo sana
Sema hizi boxer zinachosha kubadilisha oil filter