Betting ni biashara kama zingine usidharau kazi ya mtuUjinga wenu kudhania mtatoka kwa michezo ya kamali; hakuna hata siku moja utakuja fanikiwa bila kufanya kazi na eti ukategemea hiyo michezo!!! Utapewa tamaa tu kuwa siku moja utakuja pata JACKPOT na hiyo siku haitakuja kamwe!!! Zinduka acha ujinga wa kuwatajirisha matapeli.
Uyo alikuwa hana experience ya betting na nahisi alikuwa habet mpira na kama alikuwa ana bet alibet kwa kulipuka ndio maana wanakwambia BETI KISTAARABUNinatoa tahadhari hii out of the experience niliyoiona kwa Afisa mstaafu mmoja wa shirika kubwa sana nchini aliyekuwa na nyumba TATU huko Oysterbay, Masaki na Mbezi beach. Huyu bwana baada ya kustaafu akaanza kushinda kwenye hizo kamali zenu na mwishowe akaishia kuuza nyumba zote na baadae kufa kihoro!!!! You become addicted halafu unasema wengine ni kazi; sio kazi ni ugonjwa!!!
Uyo alikuwa hana experience ya betting na nahisi alikuwa habet mpira na kama alikuwa ana bet alibet kwa kulipuka ndio maana wanakwambia BETI KISTAARABU
Mimi nabetia hela ambayo wewe unahonga au kunywa bia. Matumizi yale yale shwkhe wanguWivu kwa nyinyi wajinga kuibiwa na wajanja?
Mbona nabetia hii kampuni almost one year sijawahi kukutana na haya mambo japo kuna kipindi hela ina chelewa kutoka ila sio kila siku na wapo faster mkeka uki tick unapata notificationNdugu zangu, hasa wale wanacheza michezo ya kubahatisha, kampuni hii ya Betika ni matapeli lakini Bodi ya Bahati Nasibu bado ina wacheki tu.
1. Kampuni inaruhusu kudeposit tu! Hata milioni we deposit ila kutoa hela hairuhusu hata siku moja.
2. Hairuhusu withdraw yoyote ile hivyo ukiweka fedha hata ukachezaa ujue huwezi kuitoa hata iwe elfu moja haitoki inabaki kwao. Wanakupa wanavyotaka wao ukipiga utaskia subiri tu utaingia siku yoyote ile (non sense).
3. Poor customer care, ukipiga tu simu wanakudanganya, halafu wanakuwa wakali ukionesha kutoelewa jibu fulani.
4 . Wanamasoko mazuri ili wakukamate.
Kuwen makini
Serikali iingiilie kati hawa ni DECI MPYA
nikupe mfano kuna jamaa yangu anashinda kila siku m35 had 40 kwa dau la m5 na kajenga kweri kweri broo hata kwenye maisha ya kawaida matajir wa chache maskn weng pia ujue kwenye kila jambo kuna wa faida na wa hasara....nikikuonesha settle yangu mwanzo nilivyokuwa na lost ungenionea hurumaNinatoa tahadhari hii out of the experience niliyoiona kwa Afisa mstaafu mmoja wa shirika kubwa sana nchini aliyekuwa na nyumba TATU huko Oysterbay, Masaki na Mbezi beach. Huyu bwana baada ya kustaafu akaanza kushinda kwenye hizo kamali zenu na mwishowe akaishia kuuza nyumba zote na baadae kufa kihoro!!!! You become addicted halafu unasema wengine ni kazi; sio kazi ni ugonjwa!!!