Kampuni ya Boeing imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F, Magufuli atajwa

Kampuni ya Boeing imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F, Magufuli atajwa

Mtuwekee japo kapicha ka hiyo ndege, maana story mingi bila picha ni sawasawa na mishikaki iliyokosa kachumbari.
 
Kushikilia vitu kila cku ambavyo havina mantiki ni ujinga tu!! Jina litajwe au lisitajwe hakuna kitachobalika!! Ng'wizukulu jilala wazobaga sana!!!
Kuwa na heshima basi. Bila yeye miaka yote huko nyuma mlishawahi kufikiria au kufanya maamuzi magumu ya kununua hata njiwa au hata jogoo ili shilika la ndege la taifa liwe na ndege wake.
 
Kuwa na heshima basi. Bila yeye miaka yote huko nyuma mlishawahi kufikiria au kufanya maamuzi magumu ya kununua hata njiwa au hata jogoo ili shilika la ndege la taifa liwe na ndege wake.
Acha ujinga wewe!! Kipind cha JKN itakua ulikua nyanzenda huko unatokwa kamasi tuu!! Watu wengine mnadandia mambo ambayo yapo nje ya uelewa wenu!!!
 
Kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing ya nchini Marekani imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F kwa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA) tayari kwa safari ya ndege hiyo kutoka Marekani na kuja hapa nchini Tanzania.

Makabidhiano hayo yamefanywa katika kiwanda Boeing kilichopo Jiji Seattle nchini Marekani kwa Wawakilishi wa Serikali ya Tanzania ambao ni Balozi wa Tanzania Washington, Marekani Mhe. Elsie Sia Kanza, Mtendaji Mkuu wa ATCL Mhandisi Ladislaus Matindi na Kaimu Mtendaji Mkuu wa TGFA Capt. William Budodi.

Ndege hiyo ya mizigo aina ya Boeing 767-300F ndio ndege ya kwanza kununuliwa hapa Barani Afrika, na ni ndege iliyojibebea sifa lukuki katika usafirishaji wa mizigo kwa kutumia anga Duniani.

Boeing 767 -300F ina uwezo wa kubeba tani 54 za mizigo na kuruka kwa masaa 10 ambapo ndege hiyo inatarajiwa kuwasili nchini mnao tarehe tatu Juni huku mapokezi ya ndege hiyo yanatarajiwa kuongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Ndege hiyo imenunuliwa na Serikali ya Tanzania kwa ajili ya matumizi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL)
Ndo ile bei ya 10% yake ilizidi bei ya kampuni ya kuunda ndege
 
Kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing ya nchini Marekani imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F kwa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA) tayari kwa safari ya ndege hiyo kutoka Marekani na kuja hapa nchini Tanzania.

Makabidhiano hayo yamefanywa katika kiwanda Boeing kilichopo Jiji Seattle nchini Marekani kwa Wawakilishi wa Serikali ya Tanzania ambao ni Balozi wa Tanzania Washington, Marekani Mhe. Elsie Sia Kanza, Mtendaji Mkuu wa ATCL Mhandisi Ladislaus Matindi na Kaimu Mtendaji Mkuu wa TGFA Capt. William Budodi.

Ndege hiyo ya mizigo aina ya Boeing 767-300F ndio ndege ya kwanza kununuliwa hapa Barani Afrika, na ni ndege iliyojibebea sifa lukuki katika usafirishaji wa mizigo kwa kutumia anga Duniani.

Boeing 767 -300F ina uwezo wa kubeba tani 54 za mizigo na kuruka kwa masaa 10 ambapo ndege hiyo inatarajiwa kuwasili nchini mnao tarehe tatu Juni huku mapokezi ya ndege hiyo yanatarajiwa kuongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Ndege hiyo imenunuliwa na Serikali ya Tanzania kwa ajili ya matumizi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL)
Atwaja ili?
 
Kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing ya nchini Marekani imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F kwa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA) tayari kwa safari ya ndege hiyo kutoka Marekani na kuja hapa nchini Tanzania.

Makabidhiano hayo yamefanywa katika kiwanda Boeing kilichopo Jiji Seattle nchini Marekani kwa Wawakilishi wa Serikali ya Tanzania ambao ni Balozi wa Tanzania Washington, Marekani Mhe. Elsie Sia Kanza, Mtendaji Mkuu wa ATCL Mhandisi Ladislaus Matindi na Kaimu Mtendaji Mkuu wa TGFA Capt. William Budodi.

Ndege hiyo ya mizigo aina ya Boeing 767-300F ndio ndege ya kwanza kununuliwa hapa Barani Afrika, na ni ndege iliyojibebea sifa lukuki katika usafirishaji wa mizigo kwa kutumia anga Duniani.

Boeing 767 -300F ina uwezo wa kubeba tani 54 za mizigo na kuruka kwa masaa 10 ambapo ndege hiyo inatarajiwa kuwasili nchini mnao tarehe tatu Juni huku mapokezi ya ndege hiyo yanatarajiwa kuongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Ndege hiyo imenunuliwa na Serikali ya Tanzania kwa ajili ya matumizi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL)
Vikundi vya hamasa havikuwepo uwanjani hapo?
 
Hili ni onyo. Maana mmezoea upumbavu na upuuzi.

Linakwemda kubeba minofu ya samaki, nyama ya mbuzi na mazao ya holticuture.
Screenshot_20230603-022415.jpg
 
Back
Top Bottom