Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
hii hata ukweni unakwenda nayo sio yale malonyalonya yenye extra moHuu uzi nimeuvulia kofiaView attachment 2821754View attachment 2821756
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii hata ukweni unakwenda nayo sio yale malonyalonya yenye extra moHuu uzi nimeuvulia kofiaView attachment 2821754View attachment 2821756
Sasa kwa mfano ule uzi mimi nivae nikiwa naenda wapi ?Mfano safari hii ameweka mo extra mara mbili kwenye jezi ila dewji ni mbahili sana na ukiwa mbahili sana huwezi pata vitu vizuri
Masikhara ya hali ya juu sana, wameshindwa kabisa kuheshimu brand ya simbaHahahaha poleni sana mkuu. Viongozi wenu wanaleta masikhara kwenye hii biashara ya jezi
Hahahahaha tumewacha mbali. Huu uzi lazima ni ununuehii hata ukweni unakwenda nayo sio yale malonyalonya yenye extra mo
wenzetu wako bize kuhamasisha mashabiki baada ya mashabiki kugoma kuhudhuria mechi za simbaa baada ya kula mkono. 5g
Hahahaha Wanawekea Mo xtra mara mbili sijui ndio mo kaamua kujitangazia biashara badala ya kutengeneza jezi za kueleweka wanawatengenezea uniformMasikhara ya hali ya juu sana, wameshindwa kabisa kuheshimu brand ya simba
Kaka mshana usicheze na yanga, dili na matambala yenu na zile tano zenu
Hii adi interview unafanya na unapita bila kupingwa. Halafu ushushie na suti aisee kali mnoIzi wa kuombea mkopo bank bila ribaView attachment 2821808View attachment 2821809View attachment 2821810
Huo ni mtazamo wako wewe shabiki wa yanga. The moment ulivyoingiza neno makolofive, umepoteza kabisa objectivity katika hoja yako. Ati kama jezi za Ulaya? Acha utani dogo.Wameua kwa kila kitu
1) Ubunifu wa uzinduzi ni wa kipekee sana
2) Jezi ni kali mno kuna sehemu niliona video nilijua ni timu ya ulaya, nikaja kustuka nilipoona logo ya Yanga kulia.
3) Kifuani kakaa kampuni mpya kabisa tofauti na aliyekuwepo msimu uliopita
4) Wamefanya bonge la surprise kwa makolofive wakijua Yanga msimu huu wa makundi hawana jezi mpya.
Hahahaha asipo kununulia ongea na sisi mashabiki tukuchangie jezi zikupendeze....Mtoto wa mama mkwe aandae kibunda, jezi kali sana hizi nazitaka.
Yeye zile zao mbaya siwezi kumnunulia.
Hapo kwa CRDB Unatoboa bila kupingwaIzi wa kuombea mkopo bank bila ribaView attachment 2821808View attachment 2821809View attachment 2821810
Interview ya CRDB Unapita bila shida. Ukishushia na suti mtaani unaonekana meneja au idara ya masoko wa CRDBHii adi interview unafanya na unapita bila kupingwa. Halafu ushushie na suti aisee kali mno
Jezi za ulaya hizo, huu ubunifu sio wa nchi hii....Huo ni mtazamo wako wewe shabiki wa yanga. The moment ulivyoingiza neno makolofive, umepoteza kabisa objectivity katika hoja yako. Ati kama jezi za Ulaya? Acha utani dogo.
Hatuwezi kulingana mtazamao na kila mtu. Na isitoshe huu uzi kuhusu jezi inayohusu Yanga na mimi ni mshabiki wa Yanga hilo. Kwahiyo kilichokuuma ni hilo neno makolofive?Huo ni mtazamo wako wewe shabiki wa yanga. The moment ulivyoingiza neno makolofive, umepoteza kabisa objectivity katika hoja yako. Ati kama jezi za Ulaya? Acha utani dogo.
Kujisifia ndicho kilichonikera.Hatuwezi kulingana mtazamao na kila mtu. Na isitoshe huu uzi kuhusu jezi inayohusu Yanga na mimi ni mshabiki wa Yanga hilo. Kwahiyo kilichokuuma ni hilo neno makolofive?
Sisi tupo na mo extraWameua kwa kila kitu
1) Ubunifu wa uzinduzi ni wa kipekee sana.
2) Jezi ni kali mno kuna sehemu niliona video nilijua ni timu ya ulaya, nikaja kustuka nilipoona logo ya Yanga kulia.
3) Kifuani kakaa kampuni mpya kabisa tofauti na aliyekuwepo msimu uliopita.
4) Wamefanya bonge la surprise kwa makolofive wakijua Yanga msimu huu wa makundi hawana jezi mpya.
Mimi ni simba ila nitanunua jezi ya yanga ni kali mnoHuo ni mtazamo wako wewe shabiki wa yanga. The moment ulivyoingiza neno makolofive, umepoteza kabisa objectivity katika hoja yako. Ati kama jezi za Ulaya? Acha utani dogo.