Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kolo mmevurugwa. Bado Àsec anakuja kufumua mshono, naona 7g inawahusu. Robo fainali mwaka huu mtaisikia tbc fmIla wanasimba tunachukuliwa poa sana, sasa mijezi gani ile ya kuuziana elfu 40, yani maumivu ya kupigwa hamsa hayajapoa bado mnatuletea matambara, tulishasema kama hamna mbunifu mfuateni hata sheria ngowi awabunie jezi, jezi ni biashara lazima uipe thamani yake yani value for money iwepo.
Hongereni sana wananchi hizo jezi hata zingeuzwa laki laki bado ingekuwa haitoshi ni kali mnoo.
Ila jezi mbaya..Whizmo ni kampuni ambayo imeanzishwa na kumilikiwa na SHEIKH Saeed Bin Khalaf Bin Ahmed Al Otaiba kutoka abu dhabi Dubai.
- WHIZMO ni moja ya makampuni ya Whizpay Technology LLC.
- WHIZMO ndo neno linalosomeka mbele ya Jezi za Yanga kwa sasa kwenye Caf Champions League.
- Kampuni hii Makao yake Makuu ni DUBAI na inahusika na masuala ya miamala.
#NB: YANGA NI NEXT LEVEL
View attachment 2821727
Hii namba nne umetumia hisia au mumeo ni shabiki wa kolofive ndio amekwambia hivyo?Wameua kwa kila kitu
1) Ubunifu wa uzinduzi ni wa kipekee sana.
2) Jezi ni kali mno kuna sehemu niliona video nilijua ni timu ya ulaya, nikaja kustuka nilipoona logo ya Yanga kulia.
3) Kifuani kakaa kampuni mpya kabisa tofauti na aliyekuwepo msimu uliopita.
4) Wamefanya bonge la surprise kwa makolofive wakijua Yanga msimu huu wa makundi hawana jezi mpya.
Mzee mpili umesikikaIla wanasimba tunachukuliwa poa sana, sasa mijezi gani ile ya kuuziana elfu 40, yani maumivu ya kupigwa hamsa hayajapoa bado mnatuletea matambara, tulishasema kama hamna mbunifu mfuateni hata sheria ngowi awabunie jezi, jezi ni biashara lazima uipe thamani yake yani value for money iwepo.
Hongereni sana wananchi hizo jezi hata zingeuzwa laki laki bado ingekuwa haitoshi ni kali mnoo.
Huyu jamaa ni UTOPOLO pureUmeanza kukomaa kiushabiki sasa mkuu. Ngoja tusibiri wanazi wenzio usishangae wakauponda uzi wa Yanga na kuusifu wa Simba
Wakishavuta bhangi wanawehuka haoHuo ni mtazamo wako wewe shabiki wa yanga. The moment ulivyoingiza neno makolofive, umepoteza kabisa objectivity katika hoja yako. Ati kama jezi za Ulaya? Acha utani dogo.
Je Yanga mumepata Tsh Bilioni ngapi hapa?..Whizmo ni kampuni ambayo imeanzishwa na kumilikiwa na SHEIKH Saeed Bin Khalaf Bin Ahmed Al Otaiba kutoka abu dhabi Dubai.
- WHIZMO ni moja ya makampuni ya Whizpay Technology LLC.
- WHIZMO ndo neno linalosomeka mbele ya Jezi za Yanga kwa sasa kwenye Caf Champions League.
- Kampuni hii Makao yake Makuu ni DUBAI na inahusika na masuala ya miamala.
#NB: YANGA NI NEXT LEVEL
View attachment 2821727