Kampuni ya Dubai kwenye jezi ya yanga

Huo ni mtazamo wako wewe shabiki wa yanga. The moment ulivyoingiza neno makolofive, umepoteza kabisa objectivity katika hoja yako. Ati kama jezi za Ulaya? Acha utani dogo.
 
Huo ni mtazamo wako wewe shabiki wa yanga. The moment ulivyoingiza neno makolofive, umepoteza kabisa objectivity katika hoja yako. Ati kama jezi za Ulaya? Acha utani dogo.
Jezi za ulaya hizo, huu ubunifu sio wa nchi hii....
 
Huo ni mtazamo wako wewe shabiki wa yanga. The moment ulivyoingiza neno makolofive, umepoteza kabisa objectivity katika hoja yako. Ati kama jezi za Ulaya? Acha utani dogo.
Hatuwezi kulingana mtazamao na kila mtu. Na isitoshe huu uzi kuhusu jezi inayohusu Yanga na mimi ni mshabiki wa Yanga hilo. Kwahiyo kilichokuuma ni hilo neno makolofive?
 
Sisi tupo na mo extra

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…