Kampuni ya ExxonMobil imesema faida ya robo mwaka itaongezeka kutoka na kuongezeka kwa bei ya oil na gas

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,173
ExxonMobil kampuni ya kuzalisha oil and gas imesema leo kwamba faida yao ya robo mwaka itaongezeka kwa zaidi ya dola bilioni 2 kutoka na kupanda kwa bei za oil and gas.

ExxonMobil ni kampuni ya Marekani na ya pili kwa ukubwa duniani. Inatazamia kupata faida ya jumla ya dola bilioni 11 kwa kipindi cha kwanza cha robo mwaka.

Ikumbukwe bei za oil and gas zilianza kupanda hata kabla ya vita ya Ukraine na sanctions!

Bei ya kupanda kwa mafuta kwenye soko la dunia imechangia kupanda kwa bidhaa mbali mbali duniani.

My take:
Kwanini wanaongeza bei zao na hatimaye kupata faida kubwa?

This is hard pill to swallow. I hope they are going to tax the living shit out of these oil corporations!
 
Wana faidika na mgogoro. Ukisema vita ya kiuchumi. Wenzako ndio wamefikia level hizo.

Sio vita ya uchum bongo ambayo ni political based
Jiwe alikuwa anateka na kuua wakosoaji wake, ukimkanya anasingizia vita ya kiuchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…