Na bado watakuja wengine kujipugiaaHela ya kudaunlodi tamu sana hamna mtu mvivu yeyote asiyeitamani hio aina ya pesa.
Kwani CCM wanasemaje?Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Alafu syo kama hazioni hizi upatu zikianza huwa wanasubiria pesa ziwe nyingi, watu walizwe ndiyo waibuke 😄Kwani CCM wanasemaje?
Huu ndio ukweliHua nasema kila siku mjinga pekee ndio ataona kuna pesa ya bure duniani tena pesa rahisi , pesa ya kupata ukiwa umekaa , na ni vichaa pekee hupigwa pesa kizembe
Ndio ukweli huuUkiitwa kwenye mchongo ujue wewe ndio mchongo wenyewe.
Kabisa sema baadhi ya wabongo ni viziwi ata waambiwe vip hawasikiiNdio ukweli huu
Huku FIC pesa njenje😀😀Kutaka hela za haraka. Wao wana uwekezaji gani hadi wakupe faidi hiyo kwa siku? Ngoja watu wapigwe. Wanatuona wajinga tulioweka UTT na kupata faida kidogo kidogo
Dead and Gone! FIC is Ponzi schemeBusiness= goods and services in exchange to money. Japo hata kwenye biashara pia watu hupigwa vilevile Nigerians , wapopo Wana platforms kibao za mauzo ukilemaa unapigwa na bidhaa zako au unatumia bidhaa unaambiwa iko chini ya kiwango wao hawawezi kuichukua usubiri wakuuzie , utasubiri hadi uchoke na uchakae, kitu cha kibiashara unaona kabisa mbona matajiri wakubwa hawapo huko wewe unahisi ni mchongo tena unafanya Siri kumbe dunia inakuona boya Tu kama maboya wengine
Wee, unataka watu waendelee kupigwaHuku FIC pesa njenje😀😀