mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Acha mpigwe maana mmezidi ujinga,nyie ni wabishi hamsiki
Acha mnyooshweee
Eti mtu anakuambia toa hela kiasi fulani sisi tunawekeza na tunaizalisha hyo hela,sasa hizo hela wanazo kusanya kwa mambugila wanawekeza wapi mshaona hyo biashara yaoo
Nchii hii ina mijitu mijng kabisaaa
Ndomana hata yule dada mwenye makalio makubwa kajipigia mandezi
Eti mtu mzima anahojiwa anasema ohh,tulimuamini kwa sababu msanii sjui kioo cha jamii
Sjui anaonekana kwenye ubaa wtf
Nakazia tena Acha mpigweee na hela hizo serikali wkizi recover msitegemee kurudishiwaa pk nyiee
Ova
Acha mnyooshweee
Eti mtu anakuambia toa hela kiasi fulani sisi tunawekeza na tunaizalisha hyo hela,sasa hizo hela wanazo kusanya kwa mambugila wanawekeza wapi mshaona hyo biashara yaoo
Nchii hii ina mijitu mijng kabisaaa
Ndomana hata yule dada mwenye makalio makubwa kajipigia mandezi
Eti mtu mzima anahojiwa anasema ohh,tulimuamini kwa sababu msanii sjui kioo cha jamii
Sjui anaonekana kwenye ubaa wtf
Nakazia tena Acha mpigweee na hela hizo serikali wkizi recover msitegemee kurudishiwaa pk nyiee
Ova