Kampuni ya FIC imenitapeli. Naombeni Ushauri

Kampuni ya FIC imenitapeli. Naombeni Ushauri

Acha mpigwe maana mmezidi ujinga,nyie ni wabishi hamsiki
Acha mnyooshweee

Eti mtu anakuambia toa hela kiasi fulani sisi tunawekeza na tunaizalisha hyo hela,sasa hizo hela wanazo kusanya kwa mambugila wanawekeza wapi mshaona hyo biashara yaoo
Nchii hii ina mijitu mijng kabisaaa
Ndomana hata yule dada mwenye makalio makubwa kajipigia mandezi
Eti mtu mzima anahojiwa anasema ohh,tulimuamini kwa sababu msanii sjui kioo cha jamii
Sjui anaonekana kwenye ubaa wtf

Nakazia tena Acha mpigweee na hela hizo serikali wkizi recover msitegemee kurudishiwaa pk nyiee

Ova
 
Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri

Ndugu wanajamii,

Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.

Naomba ushauri wenu:
  1. Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
  2. Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
  3. Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.

Asanteni.
Kwani CCM wanasemaje?
 
Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri

Ndugu wanajamii,

Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.

Naomba ushauri wenu:
  1. Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
  2. Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
  3. Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.

Asanteni.
 
Hela mtandaoni zipo nyingi tu japo zinahitaji hesabu ya hali ya juu
Sasa kwa Bongo, mtu anajitokea huko hajui hesabu hata ya hasi na chanya eti na yeye anajichanganya kwenye Forex kwa sababu amesikia watu wanapata hela....anaishia kupata sifuri
Hela za mtandaoni zinahitaji sana uvumilivu na kufanya maamuzi sahihi (hesabu); lakini pia, usijaribu kina cha mto kwa miguu miwili namaanisha, weka hela kidogo kidogo huku ukijifunza
 
Wajumbe hebu nisaidieni ni app gani wanakopesha pesa chapchap niwaumize nina shida na ela ndogo tu huku kwenye app ndio pakujipigia.
 
Kutaka hela za haraka. Wao wana uwekezaji gani hadi wakupe faidi hiyo kwa siku? Ngoja watu wapigwe. Wanatuona wajinga tulioweka UTT na kupata faida kidogo kidogo
Huku FIC pesa njenje😀😀
 
Business= goods and services in exchange to money. Japo hata kwenye biashara pia watu hupigwa vilevile Nigerians , wapopo Wana platforms kibao za mauzo ukilemaa unapigwa na bidhaa zako au unatumia bidhaa unaambiwa iko chini ya kiwango wao hawawezi kuichukua usubiri wakuuzie , utasubiri hadi uchoke na uchakae, kitu cha kibiashara unaona kabisa mbona matajiri wakubwa hawapo huko wewe unahisi ni mchongo tena unafanya Siri kumbe dunia inakuona boya Tu kama maboya wengine
Dead and Gone! FIC is Ponzi scheme
 
Pole sana, wakati mwingine jaribu kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kufanya chochote.
 
Back
Top Bottom