Kampuni ya FIC imenitapeli. Naombeni Ushauri

Kuna jamaa aliweka 7.5M yaani ile kidogokidogo halafu huko ndio wanamsaka kiongozi wa FIC
 
Kuna moja imeanzishwa inaitwa Brain Master Investment iko na ofisi Masaki. Unaweka kianzio 25000/= unavuna 5% kila siku.Masharti usitoe mpaka muda wa mwezi mmoja.Wanawekeza kwenye bonds za serikali.Unarhusiwa kuwekeza zaidi ya 25000/=
 
Sasa si angekula. 😁
Mkuu umewahi kupata hasara kubwa ya biashara ya mazao au wanyama? Kila ukiwaona unasikia hasira Kali. Kuna jamaa yangu alipata hasara kubwa ya vitunguu, alimpiga marufuku mke wake kuunga vitunguu kwenye mboga, hataki kusikia hata harufu ya kitunguu illkuwa tafrani!
 
πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
 
Tuache utani hawa jamaa wamesepa na hela za watu wengi sana
 
Kama uliwatumia hyo pesa kwa njia ya tigo pesa, wapigie tigo wareverse muamala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…