Kampuni ya GSM imepanga kuiendesha Klabu ya Yanga kisasa kwa kuleta Mtendaji Mkuu (C.E.O)

Kwani hawezi kuongea vitu positive bila kupaka mavi kwa kisingizio cha utani. In reality, mazuri yote aliyoongea kabla yamefutwa na upuuzi wake huko mwishoni. Na anamaanisha. Kamkosea sana Pinto.
 
Swadakta...Taratibu wanaanza kufuata njia ya Simba SC
Wazo zima la uwekezaji kwa Tanzania lilianzia Yanga. Bahati mbaya hakuna club ilikuwa tayari kwa wakati ule. Credit kwa Simba ni kuanza kulitekeleza. Yanga inarudi kwenye wazo lake na itaangalia uzoefu wa Simba kufanya ya kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…