Kampuni ya Kenya yanunua kiwanda cha Tanzania

Lengo lako halikuwa hilo la costs and benefits analysis, na pia ndo maana nikasema nchi hizi za Afrika mashariki, na pia niliposema mfaidika MKUBWA n
Sidhani kama mwanzoni ulikuwa na lengo la COSTS AND BENEFITS ANALYSIS mwanzo, lengo lako lilikuwa ni FLAUNTING!
Ila ndo maana nikasema nchi hizi za Afrika Mashariki, sikuzihusisha nchi kama Uingereza na pia nikasema mfaidika mkubwa ni nchi ambayo kiwanda kipo maana yake nchi hiyo nyingine inafaidika pia.
 

Utakua unatumia akili gani kutegemea kampuni ya Kenya iwekeze Tanzania halafu Kenya ndio inufaike zaidi???
Labda iwe zile kampuni za madini, ndio huwa zinawanyofoa na kuyaelekeza hayo madini kwao huku wakiwaacha nyie na mahandaki matupu na umaskini, lakini kiwanda cha kawaida, lazima nchi mwenyeji inufaike kwanza halafu kwa formula za faida na mapato ziifikie nchi inakotoka.
 
Ningependa kujua wanahamisha Kiwanda ktk TZ yetu au kinabakia TZ?

Mkuu, jamaa wana lengo la kuingia ubia na serikali kusambaza dawa zao kwenye hospitali za serikali, kwani hadi sasa wanasambaza kwenye zile za binafsi pekee.
 
H
Hata wewe Dada nakujua.
 
mwisho tutainunua mpaka tz iwe county number 48..mheshimiwa Magu awe govenor.simjui vice president wa tz but atakua the deputy govenor.
It will never happen. Sweet dreams my dear neighbor.
 
Naona dili la Uganda oli pipeline linawapa headache.

Tz ya leo si ya jana, This is a race to become East african economic powerhouse.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…