Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings International, kununua Korosho za Tanzania

Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings International, kununua Korosho za Tanzania

DENLSON

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
949
Reaction score
1,260
Habari njema kwa wakulima wa korosho Tanzania.

US Embassy 1.jpg
 
Juu ya ile ya Soko?

Soko gani, na bei ya Mwaka Gani, (Soko la Dunia au?), yaani wenyewe wakita soko linasema kiasi kadhaa wenyewe wanaongeza
 
Hii ni ishara Jiwe alikuwa hakubaliki na hawa watu. Pia, hili ni somo kwa Mama.
 
wahindi kwisha kazi maana walikuwa wanapanga bei na viwanda vya kubangua wakajenga kwao
 
Korosho iliobanguliwa kilo moja inafika elfu50 tshs: kwa nchi za Ulaya na Marekani. Kukiwa na mazingira na kumuwezesha mkulima wa korosho tutawapunguzia umasikini.
 
Ingawa ni vizuri wakulima wa korosho wamepata soko, lakini hii inazidi kukomaza ile dhana ya kuwa sisi ni exporters zaidi wa raw materials kuliko finished products. Serikali inabidi iweke mazingira wezeshi ya kuhakikisha kuna uwekezaji zaidi kwenye viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ghafi. Nchi haisongi mbele kwa kuuza raw materials, mkazo inabidi uwekwe kwenye value adition. We need to move up the value chain in production.
 
Ingawa ni vizuri wakulima wa korosho wamepata soko, lakini hii inazidi kukomaza ile dhana ya kuwa sisi ni exporters zaidi wa raw materials kuliko finished products. Serikali inabidi iweke mazingira wezeshi ya kuhakikisha kuna uwekezaji zaidi kwenye viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ghafi. Nchi haisongi mbele kwa kuuza raw materials, mkazo inabidi uwekwe kwenye value adition. We need to move up the value chain in production.
Kila kitu ni hatua, serikali inaweza kuongea na huyo mwekezaji na wengine wajenge viwanda ili wakinunua basi wamalize kila kitu hapa hapa!
 
Sasa does that make sense yaani anunue zaidi ya Global market price ili yeye azifanyie nini au amuuzie nani wakati yeye katika wanunuzi wote ndio bei yake ipo juu, Au Quality ya hii ni bora zaidi?

Labda nina matatizo ila to me it does not add up, By the way hivi kilo moja ya Korosho Supermarket ni Kiasi gani retail price kwa Bongo
 
Sasa does that make sense yaani anunue zaidi ya Global market price ili yeye azifanyie nini au amuuzie nani wakati yeye katika wanunuzi wote ndio bei yake ipo juu, Au Quality ya hii ni bora zaidi?

Labda nina matatizo ila to me it does not add up, By the way hivi kilo moja ya Korosho Supermarket ni Kiasi gani retail price kwa Bongo
Sijajua wameamua kununua kwa bei hiyo wao wenyewe labda wana malengo yao
 
Sasa does that make sense yaani anunue zaidi ya Global market price ili yeye azifanyie nini au amuuzie nani wakati yeye katika wanunuzi wote ndio bei yake ipo juu, Au Quality ya hii ni bora zaidi?

Labda nina matatizo ila to me it does not add up, By the way hivi kilo moja ya Korosho Supermarket ni Kiasi gani retail price kwa Bongo
Simply speculating: Tanzania has an edge in the market because its cashew season precedes that of the biggest producers like Vietnam and India. The timing could be a factor.

Though it sounds too good to be that simple: Meet the Team
 
Ingawa ni vizuri wakulima wa korosho wamepata soko, lakini hii inazidi kukomaza ile dhana ya kuwa sisi ni exporters zaidi wa raw materials kuliko finished products. Serikali inabidi iweke mazingira wezeshi ya kuhakikisha kuna uwekezaji zaidi kwenye viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ghafi. Nchi haisongi mbele kwa kuuza raw materials, mkazo inabidi uwekwe kwenye value adition. We need to move up the value chain in production.

At least hawa wamesema wananunua zilizobanguliwa.
 
Tatizo naona kiwanda cha kubangulia kirosho hasa kwa wamulima wadogo.Ingekuwa mshine zipo nyingi km za kusaga mahindi mtu hata km una kg 10 unabangua ingekuwa safi sana.
 
Back
Top Bottom