hapo watakua wametushika watu weusi,tunapenda sana uzinifu,watatumaliza kwa haraka sana hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu watajitokeza kwa mamilioni,hakuta kua na haja ya kutangaza hata kwenye tv[emoji1787][emoji1787][emoji1787]na kampuni ile ile ilotengeneza za Corona ndio imetengeneza na hii pia[emoji2][emoji2][emoji2]twifwa ludodo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]