100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Chanjo ya ukimwi athari na faida zake....
1-Inakwenda kuua biashara ya ARV.
2-Inakwenda kuua biashara ya mipira... watu hawaogopi gono.. na std zingine kama hiv...
3-Biashara ya uchangu inakwenda kuchangamka... wateja watakuwa wengi... demand ikipanda lazima price ipande...
4-Tutegemee ongezeko maradufu la mimba zisizotarajiwa...(ongezeko la population tokana na ngono zembe)
Ongezea .....
1-Inakwenda kuua biashara ya ARV.
2-Inakwenda kuua biashara ya mipira... watu hawaogopi gono.. na std zingine kama hiv...
3-Biashara ya uchangu inakwenda kuchangamka... wateja watakuwa wengi... demand ikipanda lazima price ipande...
4-Tutegemee ongezeko maradufu la mimba zisizotarajiwa...(ongezeko la population tokana na ngono zembe)
Ongezea .....