Kampuni ya Lake Energies yadaiwa kudhulumu malipo ya kazi ya Simulizi na Sauti ya Skywalker

Kampuni ya Lake Energies yadaiwa kudhulumu malipo ya kazi ya Simulizi na Sauti ya Skywalker

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
IMG_20240402_115953.jpg

Mtangazaji mkongwe ambaye ni mmiliki wa Platforms za Simulizi na Sauti ameituhumu kampuni ya Nishati ya Lake Energies (zamani lake oil) kuwa imemdhulumu malipo ya kazi aliyoifanyia kampuni hiyo na kila anapojaribu kufuatilia amekuwa akizungushwa.

Kitendo hicho kimefanya afikie hatua ya kuweka mawasiliano ya madai yakionesha akikumbushia malipo yake kwa mmoja wa watumishi wa Lake Energies.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni ameshea screenshot ya majibizano na muhusika wa kampuni hiyo na kuandika;

“Kwenye hii kazi, tunapitia changamoto nyingi sana, ila tunaamua tu kukausha na kuyaanika ya kufurahisha pekee. Tulijitoa sana kwenye hii campaign ya Lake Energies Tanzania. Kuhudhuria press conference, kutengeneza content, kushare, kufanya promo kwenye vipindi n azote tumewekeza fedha, tukijua tunafanya kazi na watu smart malipo tutayapata tu. Ni mwezi wan ne sasa nadai jasho langu.

“Amini, nimetumia njia zote za kiungana kudai haki yangu. Njia pekee iliyobaki ni hii na nilionya kuwa nitafanya hivi, ila mlipuuza kama kawaida. Tafadhali naomba mnilipe haki yangu.”
 
Si mmebiwa mvua inanyesha msubirie hadi alhamisi
 
Media nyingi uchwara kama hizo huwa zinatumika tu kupamba na kupromote hata vitu vya uongo kisa kitu kidogo, sasa meneja anatembea kwa mguu kiasi cha kuzuiwa na mvua unategemea akulipe nini?
 
Sky fuata sheria wakulipe na ya usumbufu. Usipokomaa wewe mkongwe hawa madogo watazulumiwa sana.
 
View attachment 2951440
Mtangazaji mkongwe ambaye ni mmiliki wa Platforms za Simulizi na Sauti ameituhumu kampuni ya Nishati ya Lake Energies (zamani lake oil) kuwa imemdhulumu malipo ya kazi aliyoifanyia kampuni hiyo na kila anapojaribu kufuatilia amekuwa akizungushwa.

Kitendo hicho kimefanya afikie hatua ya kuweka mawasiliano ya madai yakionesha akikumbushia malipo yake kwa mmoja wa watumishi wa Lake Energies.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni ameshea screenshot ya majibizano na muhusika wa kampuni hiyo na kuandika;

“Kwenye hii kazi, tunapitia changamoto nyingi sana, ila tunaamua tu kukausha na kuyaanika ya kufurahisha pekee. Tulijitoa sana kwenye hii campaign ya Lake Energies Tanzania. Kuhudhuria press conference, kutengeneza content, kushare, kufanya promo kwenye vipindi n azote tumewekeza fedha, tukijua tunafanya kazi na watu smart malipo tutayapata tu. Ni mwezi wan ne sasa nadai jasho langu.

“Amini, nimetumia njia zote za kiungana kudai haki yangu. Njia pekee iliyobaki ni hii na nilionya kuwa nitafanya hivi, ila mlipuuza kama kawaida. Tafadhali naomba mnilipe haki yangu.”
Alikuwa na mkataba?
 
Ndio tatizo la kufanya kazi kishkaji/kwa kujuana /kwa mdomo" we Fanya tu hakuna kitakachoharibika"

Angekuwa na mkataba angekuja kulalama humu!?
 
Hao jamaa ni wababe sana
Tena awamu hii ndy wamezidisha
Makucha

Ova
 
Back
Top Bottom