Kampuni ya Mabasi Dar Express inakwama wapi?

Kampuni ya Mabasi Dar Express inakwama wapi?

Mamaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
5,067
Reaction score
4,434
Hii kampuni ina jina kubwa kutokana na Ubora wa huduma ambazo iliwahi kuzitoa hapo siku za nyuma ikambatana na kuwa na mabasi mazuri yenye kiwango, ofisi nzuri na wahudumu wanaojali wateja.

Kwa sasa sijui ni kitu gani kimewakumba hawa jamaa, kwanza kabisa utunzaji wao wa magari umekuwa ni wa hovyo sana,nilikutana na ile Marcopolo Viagio G7 imechoka balaa, kwanza kwa hadhi ya ile bus ni ya kupeleka Ulanga, Ifakara kweli?

Mwendo wa barabara ya vumbi na mashimo ya kutosha, kwanza ilikuwa imetelekezwa stend kwa sababu ya ubovu, nyingine niliikuta karibu na Mindu imefichwa kwenye kinjia cha uchochoroni, inaonekana imetaga hapo muda mrefu.

Busi zao zinaharibika mara kwa mara,na utunzaji umekuwa wa hovyo sana,huduma zao nazo zimekuwa za hovyo. naiona hii kampuni inaenda kufa kama wasipojirekebisha, wajifunze kwa Kilimanjaro, bus zake ni safi sana na huduma ni nzuri sana.
 
20221013_155759.jpg
 
ni kweli maana kidinilo na alsaed ni 3x2
Kidinilo,,,umenikumbusha mbali mkuu ! 2012 huko niliwah kupata safari ya kwenda mahenge Kama Mara 3 ! Mabasi yalokuwepo Ni Moro best(Nissan ), kinidinilo na alsaedy,,, enzi hizo Moro best na alsaedy yamechoka balaa, kidinilo ndo linaonekana pamba ;

Weekend moja nilienda kula maisha ukumbi flan ulikuwa unaitwa udeko, unakuta watoto wa kipogoro wapo na ndala, sketi ndefu kwenye disco,,,,

[emoji2][emoji2] memory nzuri Sana , watu wake pia wakarimu Sana !
 
Tunarudia na narudia, Dar Express, Kilimanjaro Express is old skuli, msilazimishe zichanue upya, hata akileta irizar au viagio GX ni scania chuma kweli but not comfortable kama mchina.

Although hizo kampuni mbili mwa sasa zimebaki majina tu, no good service and customer care humo ndani, mabinti wake (konda) wanajibu ovyo sababu wana uhakika wa kuiba njiani, i know everything in out hii! Na hata agent wao now wapo mguu nje/ndani.
 
Tunarudia na narudia, Dar Express, Kilimanjaro Express is old skuli, msilazimishe zichanue upya, hata akileta irizar au viagio GX ni scania chuma kweli but not comfortable kama mchina.

Although hizo kampuni mbili mwa sasa zimebaki majina tu, no good service and customer care humo ndani, mabinti wake (konda) wanajibu ovyo sababu wana uhakika wa kuiba njiani, i know everything in out hii! Na hata agent wao now wapo mguu nje/ndani.
Not comfortable kama mchina? Bus zipi hizo za kichina?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Umeharibu hapo mwishoni ulipo sema Kilimanjaro iko vizuri imeonesha huenda una maslahi na Kilimanjaro buses na umetaka kui-kandya Dar express!

Ungeacha audience wataje au uje uandike hilo hapa katikati ya majadiliano.
 
Biashara za magari makubwa sio biashara lelemama!

Huwa kuna kupwa na kujaa Kama bahari !

Pengine ameshamaliza kulipa mikopo, Au ameamua kuhamisha Mtaji kwenye biashara nyingine n.k.

Biashara ya magari ni pasua kichwa!

Gari ikitoka na kurudi bila udhia wowote shukuru Mungu,

Madereva wenyewe hawajasoma ni Laymen,

Kufanya kazi ni Laymen kuna changamoto zake Pia!
 
Dar Lux ilishakufa muda sana Mkuu.

Hivi sasa Majengo yao yote yanamilikiwa na Happy Nation.

Be informed accordingly[emoji3516]

Unless Dar Express ni kampuni tofauti na Dar Lux.. i stand to be corrected
 
Kwa sasa sijui ni kitu gani kimewakumba hawa jamaa, kwanza kabisa utunzaji wao wa magari umekuwa ni wa hovyo sana,nilikutana na ile Marcopolo Viagio G7 imechoka balaa, kwanza kwa hadhi ya ile bus ni ya kupeleka Ulanga, Ifakara kweli?

Mwendo wa barabara ya vumbi na mashimo ya kutosha, kwanza ilikuwa imetelekezwa stend kwa sababu ya ubovu, nyingine niliikuta karibu na Mindu imefichwa kwenye kinjia cha uchochoroni, inaonekana imetaga hapo muda mrefu.
Tunaweza kupata histori ya mmiliki alipataje hizo mali?
 
Tunarudia na narudia, Dar Express, Kilimanjaro Express is old skuli, msilazimishe zichanue upya, hata akileta irizar au viagio GX ni scania chuma kweli but not comfortable kama mchina.

Although hizo kampuni mbili mwa sasa zimebaki majina tu, no good service and customer care humo ndani, mabinti wake (konda) wanajibu ovyo sababu wana uhakika wa kuiba njiani, i know everything in out hii! Na hata agent wao now wapo mguu nje/ndani.
Mimi nimepanda Dar Express T8.. DWU Luxury bus. Very Comfortable. Utazani uko ndani ya Bombardier.👋👋Bus Lina first na Second na choo ndani. Jaribu hutajutia Nauli yako. Entertainment kibao Maji, Soda, biscuit, Cake na pipi. Halafu full AC. Dereva na Konda wako Vizuri.
 
Dar Lux ilishakufa muda sana Mkuu.

Hivi sasa Majengo yao yote yanamilikiwa na Happy Nation.

Be informed accordingly[emoji3516]

Unless Dar Express ni kampuni tofauti na Dar Lux.. i stand to be corrected
Ni kampuni mbili tofauti...
 
Baada ya mke wa mmiliki (mama mremi) kufariki hali ya kampuni imekuwa mbaya sana!
Mzee mremi ni haambiliki!
 
Nimepanda kilimanjaro mara mbili. Baadhi ya gari zao hazridhishi. Ni kweli hiyo mininga (scania) ni ngumu (imara) lakini comfortability hakuna. Unakuta bus inavuja, wahudumu wakali nk. Nachelea kusema BM ndio kampuni namba moja kwa sasa kuelekea Arusha. Tilisho, Ester na Extra nao wanajitahidi
 
Not comfortable kama mchina? Bus zipi hizo za kichina?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Nimeshangaa ujue yaani mchina upi ulingane na Viaggio au Irizar kwa confotability? Ujue mchina basi zake huwenda zikawa ni technolojia ya mzungu miaka ya nyuma kidogo.
Zhongtong Mega haiwezi kuwa confotable zaidi hata ya Andre G6 tena yenye single😄
 
Back
Top Bottom