Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Tafta na ww ushushe mara mbili yakee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena yaan kumbe tusisahau kupambana pia tujiandae kuwa wauajiTafuta pesa ndugu. Kuna Takukuru na TRA watachunguza.
Kitendo cha kusema, jamaa kaagiza mabasi 100 anatakiwa achunguzwe tayari huo ni wivu.
Tafuta hela, uishi maisha mazuri. Hapa duniani kila kitu kinawezekana tatizo ni wewe tu.
Hii ndo akili sasaTafta na ww ushushe mara mbili yakee
Huu sio uwanja wa matusi, hata ukiongea kistaarabu utaeleweka tu ilmradi unaongea facts.
Unaongea Kama Dem wa kimakonde kwenye mchiriku....jirekebishe dogo.
Mwigu boy
Wenye mawazo ya kimasikini ni wote ambao wana roho ya ubinafsi. Maana Tangu kuwapo kwa Tawala mbalimbali za Binadamu duniani na historia inashuhudia kwamba hakuna mtu aliyejifanikisha mwenyewe na familia na watu wa karibu asiishie kupotea. Na hiyo iwe kwa halali ama kwa Dhuluma ama ufisadi.
Sasa kama ukitafuta pesa za halali ukawa mbinafsi Mwenyez Mungu anakuumbua sembuse za wavuja jasho.. Hahahhaha.. Aya Time shall Decide.
Duh! Gari 200!?Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguze kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je, Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Kama anawekeza ndani nakupatia ajira vijana siyo mbaya kuliko kwenda kuficha hela nnje ikiwezekana alete mengine miatanoKuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguze kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je, Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Wale Maisha kwa kuiba?Acheni watu wale maisha dadeki.
Wale Maisha kwa kuiba?
Wivu tu huo,yaan mtu anunue magari yake wewe uteseke? Baada ya mda mchache utakuwa mchawi.
Kodi yanguWamekuibia nini mzee
Ndio zile bilioni zilizoongezeka kutoka Bilioni 37 hadi Bilioni 89, ndio mgao unatembea kwa ajili ya kutakatisha pesaKuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguze kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je, Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Kodi ya nini wakati watu wanajichotea tu? Hujasikia bilini 37 watu wameonheza hadi 89, sasa faida yake nini kulipa kodi na kufaidisha weziTunaulizia Kodi inalipwa halali?
Kweli tuna safari ndefu, sawa Mkuu wacha tuendelee kuibiwaHata ukijua utafanya nini? Wewe mwenyewe unajifanya msafi, ukipewa cheo utaiba tu.
Hapo ulipo ushawahi kuwadhulumu watu wangapi? Utakuta kuna mtu ushawahi kumkopa hela au kumfanyisha kazi na hautaki kumlipa mpk sasa.
Kweli kupiga hatua za Kimaendeleo kwa Nchi itakuwa vigumu mno kwa style hii.Na chawa zake zinaropoka huku pembeni tafuta hela. Sawa. Wacha tutafute za halali nyie ogeeni hizo za wanyonge.
Wazazi wa Ben Saanane wamefanya nini?Kweli tuna safari ndefu, sawa Mkuu wacha tuendelee kuibiwa