Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguzwe kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Akili yako ndo imeishia hapo we ni kopo umechunguza mangapi yanayoendelea hapa nchini ? Uchunguzwe akili yako