Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Please refresh your browserPicha?
Seen🤝🤝Please refresh your browser
Seen🤝🤝
Utamu ni pale trafiki anapotaka kula rushwaInapendeza
... hawa watu wasioamini Mungu wanaenda ku-control dunia. Very sad.
Wanaoamini Mungu mnaendelea kukwama kwenye kila sekta... hawa watu wasioamini Mungu wanaenda ku-control dunia. Very sad.
Noma sana.Wanaoamini Mungu mnaendelea kukwama kwenye kila sekta
Muelekeze maana ya browser kwanza. Yeye atajua ni blauziPlease refresh your browser
Kwa hiyo refresh your browser akaelewa, suuza blauzi yako!!Muelekeze maana ya browser kwanza. Yeye kajilua ni blauzi
Halafu mapepo mahinga sana, eti yakiambiwa tu, pepo toka yanatoka fasta. Ila umasikini ukiuambiwa umasikini toka, wala haukuelewi, hadi uwe na hela, uizaloshe, na uwe na nidhamu ya kuitunza na kuidumisha ndipo umaskini unatowekaNoma sana.
Kwanini usitafute ndimu ukalamba? Baiskeli tu huwezi kutengeneza ila kazi yako kupanua mdomo tuKwenye upande wa heavyduty equipment hakuna jipya, haya yote ni marudio tu.