Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imetangaza kuwa itapiga mnada magari mbalimbali ambayo hayatumiki ikiwemo Range Rover Wagon siku ya Ijumaa Desemba 13, 2024.
Mnada huo utafanyika katika Jengo la TSN lililopo Mtaa wa Isimani Upanga, Dar es Salaam utahusisha pia pikipiki, vifaa vya TEHAMA, samani za ofisi na vifaa vingine.
Watakaohitaji kukagua vifaa hivyo vya mnada wanaruhusiwa kufanya hivyo leo na kesho katika eneo hilo la mnada na kupewa maelezo kwa kina.
Mnada huo utafanyika katika Jengo la TSN lililopo Mtaa wa Isimani Upanga, Dar es Salaam utahusisha pia pikipiki, vifaa vya TEHAMA, samani za ofisi na vifaa vingine.
Watakaohitaji kukagua vifaa hivyo vya mnada wanaruhusiwa kufanya hivyo leo na kesho katika eneo hilo la mnada na kupewa maelezo kwa kina.