Kampuni ya Marekani kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania

Kampuni ya Marekani kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania

China imetoa pesa gani Tzn hii? Miaka yote akina Marekani ndio wako top
China kuwa soko la mazao ya biashara inajenga ushawishi mkubwa kuliko pesa za misaada. Ni nadharia tu kuwa huenda hili soko la Marekani limepatikana ili kumkata moto mchina sababu kikawaida Soko la Marekani huwa lina masharti chungu nzima.
 
Ubalozi wa Marekani hapa nchini umetangaza kuwa Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. itanunua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya soko

Ubalozi huo umesema taarifa hiyo ni kubwa kwa Wakulima wa Korosho nchini na ni faida kwa Tanzania na Walaji wa Korosho nchini Marekani


Je, ni zoezi la kudumu ama ndiyo leo wakulima wanacheka, kesho wanarudi palepale? Na vipi kuhusu bei? Bei ya juu isijekuwa ya JUU
 
Hilo la kujifunga kwenye soko moja umelitoa wapi tena? Wenyewe wamesema wanauwezo wa kununua korosho yote kwa bei ambayo ni juu ya soko. Hawajazuia mwingine kununua,kama anaweza.

Tatizo watu wengine huwa wanasoma only headings
 
Jibu ni kwamba sasa Rais Samia ameiweka rasmi Tanzania kwenye ramani ya Dunia. Ni muda uchumi wa Tanzania unaenda kukua kwa kiwango cha juu kabisa kupitia haya marekebisho anayoenda kuyafanya Rais Samia.

Ni wakati Wizara ya Kilimo na Wizara za fedha zikajipanga ipasavyo kutumia fursa hii adhimu.
Taratibu tutamuelewa mama binafsi nampa mda tu lakini anaweza kuwa ndio raisi atayefanya makubwa kwenye uchumi, hayo mengine sitaki zungumzia.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Je, ni zoezi la kudumu ama ndiyo leo wakulima wanacheka, kesho wanarudi palepale? Na vipi kuhusu bei? Bei ya juu isijekuwa ya JUU
Screenshot_20210826-230516_Samsung Internet.jpg
 
Ubalozi wa Marekani hapa nchini umetangaza kuwa Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. itanunua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya soko

Ubalozi huo umesema taarifa hiyo ni kubwa kwa Wakulima wa Korosho nchini na ni faida kwa Tanzania na Walaji wa Korosho nchini Marekani


Hili ndio huwa linaniuma sana,kwanini mpaka nchi ya mbali,US,au UK ndio inunue korosho zetu?wao wanaziuza wapi?au je hata kama wanazitumia kama malighafi,kwanini na sie tusiwe na viwanda tufanye hivyo
 
15,000 kwa kilo 1
Ngoja nikazinunue kwa 5000,per kg nizifiche store then wamarekani wakianza kununua mie nipate faida ya 10k kwa kilo.

Hii ni fursa ya kupata utajiri hao konde na chinga wamezubaa sana 😆
 
Hii ni habari kubwa kwa wakulima wa korosho Tanzania. Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. imetangaza kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya ile ya soko. Hii ni faida kwa wakulima wa Tanzania na walaji wa Marekani.

Chanzo Ubalozi wa Marekani.
 
Hii ni habari kubwa kwa wakulima wa korosho Tanzania. Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. imetangaza kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya ile ya soko. Hii ni faida kwa wakulima wa Tanzania na walaji wa Marekani.

Chanzo Ubalozi wa Marekani.
Korosho, Kahawa, Mbaazi, Ufuta, Parachichi, Katani ni hot cakes ila huwa vinarudishwa nyuma na siasa za kisenge
 
Hii ni habari kubwa kwa wakulima wa korosho Tanzania. Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. imetangaza kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya ile ya soko. Hii ni faida kwa wakulima wa Tanzania na walaji wa Marekani.

Chanzo Ubalozi wa Marekani.
Waweke wazi kilo moja watanunua kwa Bei gani?
 
Back
Top Bottom