Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
China imetoa pesa gani Tzn hii? Miaka yote akina Marekani ndio wako topKupunguza ushawishi wa China Tanzania tusijekuwa Zambia nyingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
China imetoa pesa gani Tzn hii? Miaka yote akina Marekani ndio wako topKupunguza ushawishi wa China Tanzania tusijekuwa Zambia nyingine.
China kuwa soko la mazao ya biashara inajenga ushawishi mkubwa kuliko pesa za misaada. Ni nadharia tu kuwa huenda hili soko la Marekani limepatikana ili kumkata moto mchina sababu kikawaida Soko la Marekani huwa lina masharti chungu nzima.China imetoa pesa gani Tzn hii? Miaka yote akina Marekani ndio wako top
Ubalozi wa Marekani hapa nchini umetangaza kuwa Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. itanunua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya soko
Ubalozi huo umesema taarifa hiyo ni kubwa kwa Wakulima wa Korosho nchini na ni faida kwa Tanzania na Walaji wa Korosho nchini Marekani
Hatutaki mabeberu wanunue Korosho zetu.Serikali itanunua korosho zote na itatuma magari ya jeshi Mtwara kusomba Korosho.Huo ndiyo uzalendo[emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Hilo la kujifunga kwenye soko moja umelitoa wapi tena? Wenyewe wamesema wanauwezo wa kununua korosho yote kwa bei ambayo ni juu ya soko. Hawajazuia mwingine kununua,kama anaweza.
Taratibu tutamuelewa mama binafsi nampa mda tu lakini anaweza kuwa ndio raisi atayefanya makubwa kwenye uchumi, hayo mengine sitaki zungumzia.Jibu ni kwamba sasa Rais Samia ameiweka rasmi Tanzania kwenye ramani ya Dunia. Ni muda uchumi wa Tanzania unaenda kukua kwa kiwango cha juu kabisa kupitia haya marekebisho anayoenda kuyafanya Rais Samia.
Ni wakati Wizara ya Kilimo na Wizara za fedha zikajipanga ipasavyo kutumia fursa hii adhimu.
Wapi na ushahidi unao?Mwezi uliopita China walitangaza kununua korosho za Tz, mwezi mmoja mbele Marekani anasema atanunua kwa bei kubwa kuliko zote, kuna nini kinaendelea?
15,000 kwa kilo 1Watanunua $ ngapi kwa kilo nianze kuangua, maana wakulima wenyewe wamezubaa mno
Je, ni zoezi la kudumu ama ndiyo leo wakulima wanacheka, kesho wanarudi palepale? Na vipi kuhusu bei? Bei ya juu isijekuwa ya JUU
🤣🤣🤣Na watabangua kwa MENO
Alisikia mzee mmoja kutoka Chattle ambae kwa sasa hatunae tena duniani..Hatutaki mabeberu wanunue Korosho zetu.Serikali itanunua korosho zote na itatuma magari ya jeshi Mtwara kusomba Korosho.Huo ndiyo uzalendo🤡🤡🤡
🤣🤣🤣Alisikia mzee mmoja kutoka Chattle ambae kwa sasa hatunae tena duniani..
I regard this as a conjectural act. Let's wait!
Ubalozi wa Marekani hapa nchini umetangaza kuwa Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. itanunua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya soko
Ubalozi huo umesema taarifa hiyo ni kubwa kwa Wakulima wa Korosho nchini na ni faida kwa Tanzania na Walaji wa Korosho nchini Marekani
Ngoja nikazinunue kwa 5000,per kg nizifiche store then wamarekani wakianza kununua mie nipate faida ya 10k kwa kilo.15,000 kwa kilo 1
Korosho, Kahawa, Mbaazi, Ufuta, Parachichi, Katani ni hot cakes ila huwa vinarudishwa nyuma na siasa za kisengeHii ni habari kubwa kwa wakulima wa korosho Tanzania. Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. imetangaza kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya ile ya soko. Hii ni faida kwa wakulima wa Tanzania na walaji wa Marekani.
Chanzo Ubalozi wa Marekani.
Waweke wazi kilo moja watanunua kwa Bei gani?Hii ni habari kubwa kwa wakulima wa korosho Tanzania. Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. imetangaza kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya ile ya soko. Hii ni faida kwa wakulima wa Tanzania na walaji wa Marekani.
Chanzo Ubalozi wa Marekani.